Maji ya Ruvu Chini yaanza kutoka Dar
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka (DAWASCO) imesema baadhi ya maeneo katika Jiji la Dar es Salaam yameanza kupata maji baada ya kukamilika kuunganishwa kwa bomba la maji ya Mtambo wa Ruvu Chini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s72-c/Untitled.png)
TAARIFA KUTOKA DAWASCO JUU KUENDELEA KWA MATENGENEZO KWENYE MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5up8SDctAAg/VMy9onUJkXI/AAAAAAAHAhY/tDxU4ahvl9k/s1600/Untitled.png)
HALI HII IMESABABISHA HUDUMA YA MAJI KUKOSEKANA KWENYE BAADHI YA MAENEO YA JIJI LA DAR ES SALAAM KUANZIA ALHAMISI 29/01/2015 KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YAMEKOSA MAJI:
MJI WA...
11 years ago
Michuziwataalam wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais (Tume ya Mipango) watembelea Mtambo wa Maji wa Ruvu Chini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s72-c/MMGM2045.jpg)
Bodi ya DAWASA yatembele Mirani ya Maji Ruvu chini na Ruvu juu leo
Bodi ya Wakurugeni ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) leo Agosti 20,2014 imefanya ziara ya kutembelea Miradi yao ya Maji ya Ruvu Juu na Ruvu Chini ili kujionea maendeleo ya ukarabati wa Miradi hiyo miwili ambayo ilikuwa katika ukarabati.Katika ziara hiyo Bodi hiyo ya DAWASA imeridhishwa na upanuzi wa Mtambo wa Maji wa Ruvu chini ambao kwa sasa umekamilika kabisa huku ukiwa na uhakika wa kutoa maji ujazo wa Lita Milioni 270 kwa siku.
Meneja Miradi wa Kampuni ya Megha...
![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s1600/MMGM2045.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s72-c/07.jpg)
Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s640/07.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGSyjo2g948/VlmiKAqUMlI/AAAAAAAIIww/2LL3Pn6iSPs/s640/08.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6SnvV-6I7U/VlmiFECqDFI/AAAAAAAIIv8/zxtfB1EvtdQ/s640/03.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s72-c/IMG_1385.jpg)
KINANA ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA MITAMBO MIPYA YA MAJI RUVU CHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s1600/IMG_1385.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Ehbpl8K2QI/UzTktARLNKI/AAAAAAACdks/yNHvD535kd4/s1600/IMG_1391.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-feqR7SObJ24/Vlp5enpv8_I/AAAAAAAII2g/V-M3cTIasxA/s72-c/02.jpg)
BOMOBOMOA SALASALA ILI KUPISHA UJENZI WA BOMBA LA MAJI -RUVU CHINI
Na Eleuteri Mangi-MAELEZOZoezi la kubomoa nyumba na majengo yaliyoingia ndani ya ya hifadhi ya miundombinu ya bomba la maji kutoka Ruvu Chini limeendelea mwishoni mwa wiki ili kuhakikiha kunakuwepo usalama wa bomba hilo na kuwapatia wakazi wa jiji la Dar es salaam na maeneo ya mkoa wa Pwani uhakika wa maji ifikapo Februari, 2016. Bomo bomoa hiyo ya mwishoni mwa wiki ilihusisha maeneo ya Salasala ambapo baadhi ya nyumba, karakana na uzio vyote viljengwa ndani ya hifadhi ya miundombinu hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v3GVFzgjVTE/XmZQT4v-CAI/AAAAAAABMtI/_DJtSzNqqjQGLlGJh79HmxO0tyZp2HtNgCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_122549_073.jpg)
DAWASA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUSHIRIKI UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mamlaka ya maji safi na Usafi Dar es Salaam na Pwani DAWASA kwa watendaji wanawake kuhusika katika uzalishaji wa maji.
Wanawake wa Dawasa wameshiriki katika uzalishaji maji katika chanzo cha maji cha Ruvu Chini.
Akizungumzia Siku ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka, Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii Dawasa , Neli Msuya amesema wameamua kushiriki maadhimisho hayo kwa kwenda chanzo cha Ruvu Chini ili...
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mamlaka ya maji safi na Usafi Dar es Salaam na Pwani DAWASA kwa watendaji wanawake kuhusika katika uzalishaji wa maji.
Wanawake wa Dawasa wameshiriki katika uzalishaji maji katika chanzo cha maji cha Ruvu Chini.
Akizungumzia Siku ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka, Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii Dawasa , Neli Msuya amesema wameamua kushiriki maadhimisho hayo kwa kwenda chanzo cha Ruvu Chini ili...
10 years ago
MichuziTANGAZO LA KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI KUTOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA KUBWA
SHIRIKA LA MAJI SAFI NA MAJITAKA DAR-ES-SALAAM (DAWASCO),LINAWATANGAZIA WAKAZI WA JIJI LA DAR-ES-SALAAM NA MJI WA BAGAMOYO MKOANI PWANI KUWA, MTAMBO WA KUZALISHA MAJI WA RUVU CHINI UMEZIMWA KWA SAA 24 KUANZIA ASUBUHI YA TAREHE 01.03.2015.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU CHINI KUMETOKANA NA MATENGENEZO YA BOMBA LA INCH 54 ENEO LA MATANKI YA CHUO KIKUU.
MATENGENEZO YANAENDELEA NA YANATARAJIA KUKAMILIKA BAADA YA SAA 24.
KWASABABU HIYO MAENEO YAFUATAYO YATAKOSA MAJI:MJI WA BAGAMOYO, VIJIJI VYA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RmwuJxYx1js/VHhzXLt9EpI/AAAAAAAGz7w/Uq4VMLXYFi8/s72-c/dawasco-March6-2013.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUZIMWA KWA MTAMBO WA MAJI RUVU CHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-RmwuJxYx1js/VHhzXLt9EpI/AAAAAAAGz7w/Uq4VMLXYFi8/s1600/dawasco-March6-2013.jpg)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania