DAWASA yapanua Ruvu Juu
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam imeanza upanuzi mkubwa wa mtambo wa Ruvu Juu, ikiwemo kujenga chujio mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s72-c/MMGM2045.jpg)
Bodi ya DAWASA yatembele Mirani ya Maji Ruvu chini na Ruvu juu leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-mAbH80mS11w/U_TaYw6Zs8I/AAAAAAAGA-s/sydO06UFQ-0/s1600/MMGM2045.jpg)
11 years ago
Habarileo13 Mar
Upanuzi mitambo Ruvu Juu, Ruvu Chini waenda kasi
UHABA wa maji kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam na mikoa mingine inayohudumiwa na mitambo ya maji ya Ruvu Juu na Ruvu Chini unatajwa utakuwa historia kutokana na Serikali kuanza upanuzi wa mitambo hiyo.
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Google yapanua mabawa anga za juu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v3GVFzgjVTE/XmZQT4v-CAI/AAAAAAABMtI/_DJtSzNqqjQGLlGJh79HmxO0tyZp2HtNgCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_122549_073.jpg)
DAWASA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUSHIRIKI UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mamlaka ya maji safi na Usafi Dar es Salaam na Pwani DAWASA kwa watendaji wanawake kuhusika katika uzalishaji wa maji.
Wanawake wa Dawasa wameshiriki katika uzalishaji maji katika chanzo cha maji cha Ruvu Chini.
Akizungumzia Siku ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka, Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii Dawasa , Neli Msuya amesema wameamua kushiriki maadhimisho hayo kwa kwenda chanzo cha Ruvu Chini ili...
11 years ago
Habarileo24 May
Mtambo Ruvu Juu kupanuliwa
SERIKALI imeanza kupanua mtambo wa maji wa Ruvu Juu ili kuongeza uzalishaji maji kutoka lita milioni 82 hadi milioni 196 kwa siku, imeelezwa. Pia imeelezwa kuwa ukosefu wa malighafi, umesababisha matengenezo ya mtambo huo uliopo Mlandizi Wilaya ya Kibaha, kuchelewa.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mnyika ataka matokeo ya uchunguzi Ruvu Juu
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, ameitaka Wizara ya Maji kuueleza umma juu ya matokeo ya uchunguzi wa kubaini kama tatizo linalojirudia kwenye mtambo wa maji wa Ruvu Juu ni masuala...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s72-c/Untitled.png)
MTAMBO WA MAJI RUVU JUU WAPATA HITILAFU
![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s1600/Untitled.png)
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo ili kuhakikisha Huduma ya Maji inarejea katika hali ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Li9saok6FYI/VOSNZJ89uJI/AAAAAAAHEYI/Va4rB-DLqos/s72-c/Untitled.png)
DAWASCO YATOA TAARIFA YA KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Li9saok6FYI/VOSNZJ89uJI/AAAAAAAHEYI/Va4rB-DLqos/s1600/Untitled.png)
MTAMBO YA RUVU JUU UTAZIMWA ILI KUMRUHUSU MKANDARASI KUFANYA SHUGHULI ZA UPANUZI WA MTAMBO.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU KUTASABABISHA MAENEO YAFUATAYO KUKOSA MAJI;
MLANDIZI, KIBAHA, KIBAMBA, KILUVYA, KONGOWE, MISUGUSUGU,...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
DC wa Kinondoni Paul Makonda atembelea mradi wa ujenzi wa bomba la maji kutoka Ruvu juu!
Na Eleuteri Mangi – MAELEZO
Mkuu wa Wilaya ya...