WAZIRI MEMBE ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI MKUU ISSA SHABAN BIN SIMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aBGiQoIwSoI/VYE80jxBmGI/AAAAAAADsEs/PZ8kn2o4jps/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini humo Juni 16.2015.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akitoa neno kwa umati wa waombolezaji katika msiba wa Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga, baada ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI SHEKHE ISSA SHABAN BIN SIMBA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7LO1kBtFB6U/VYBEFQE88NI/AAAAAAAHf9M/rgktIuXCZbc/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MUFTI MKUU WA TANZANIA MAREHEMU SHEIKH ISSA SHAABAN BIN SIMBA MKOANI SHINYANGA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-7LO1kBtFB6U/VYBEFQE88NI/AAAAAAAHf9M/rgktIuXCZbc/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GhDrkWUYGUo/VYBEFgPgiUI/AAAAAAAHf9Q/Za6XSKrHYTk/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7LO1kBtFB6U/VYBEFQE88NI/AAAAAAAHf9M/rgktIuXCZbc/s72-c/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
JUST IN: Rais Kikwete aongoza maelfu ya Waombolezaji kwenye Mazishi ya Mufti Mkuu wa Tanzania MArehemu Sheikh Issa Shaaban bin Simba Mkoani Shinyanga leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-7LO1kBtFB6U/VYBEFQE88NI/AAAAAAAHf9M/rgktIuXCZbc/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GhDrkWUYGUo/VYBEFgPgiUI/AAAAAAAHf9Q/Za6XSKrHYTk/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban Simba, afarikki dunia
Mufti Simba enzi za Uhai wake..
Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban Simba, amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam.
Taarifa kutoka mamlaka husika na dini na ndugu wa karibu walieleza kuwa, mwili wa marehemu umeondolewa hospitali hapo na kuhamishiwa hospitali kuu ya Jeshi ya Lugalo kungoja taratibu za mazishi.
Kwamujibu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amesema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Iebe9m5XXaM/VX6Bt5wJjMI/AAAAAAAHfek/JJqax9PgWR0/s72-c/ShekheMkuu.jpg)
BREAKING NEWZ: MUFTI SHEKH MKUU WA TANZANIA, ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Iebe9m5XXaM/VX6Bt5wJjMI/AAAAAAAHfek/JJqax9PgWR0/s640/ShekheMkuu.jpg)
MUFTI Shekh Mkuu wa Tanzania, Issa Bin Shaaban Simba amefariki dunia leo katika hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam.
MUNGU ILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAEREHEMU.
Endelea kufuatilia taarifa zaidi.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3AC2EKavkus/VX9ZmFIWHXI/AAAAAAAHf2Q/3l2dS5L_s00/s72-c/images.jpg)
CHADEMA WAMLILIA Mufti Mkuu wa Tanzania Tanzania, Sheikh Issa Shaaban bin Simba
![](http://2.bp.blogspot.com/-3AC2EKavkus/VX9ZmFIWHXI/AAAAAAAHf2Q/3l2dS5L_s00/s640/images.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Rais Kikwete aomboleza kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba (kushoto) enzi za uhai wake.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo cha Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Sheikh Issa Bin Shaaban Simba.
Marehemu Mufti amefariki leo 15/6/2015 asubuhi katika hospitali ya TMJ – DSM alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa sukari na shinikizo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Q5UNqMz*p7AYFS5SjVhG3IMG3*SUa02aHINbagJ2k*M3yrDqvY*IPnZaPP6R8zTKZpDDdRicqr9uTsPZDMsc74/BREAKING.gif)
TANZIA: MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OkkR6evK9Rk/VX7rn4sF-JI/AAAAAAAHfss/hR6YXhCRfO4/s72-c/index.jpg)
RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkkR6evK9Rk/VX7rn4sF-JI/AAAAAAAHfss/hR6YXhCRfO4/s1600/index.jpg)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Waislamu wote nchini na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)) kufuatia kifo...