Sindano zamlaza Kiongera, aikosa Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUDvJbaWG15gzFmu*1V1LmYtB1ImsLzD9PfJt8MbvkqyF5zClw-Po1aLt32wvAsA5u4ex8-zQjlB*Cq2frThEV0/kiongera.jpg)
Mshambuliaji wa Simba Mkenya, Paul Modo Kiongera. Na Mwandishi Wetu NI hofu na mashaka ya pambano la watani imeanza, sasa Simba itamkosa mshambuliaji wake Mkenya, Paul Modo Kiongera katika mechi dhidi ya Yanga.Mechi hiyo ya nne kwa kila timu ya Ligi Kuu Bara itapigwa Oktoba 12 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na tayari imethibitika Kiongera, hatacheza.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Kiongera aikosa Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MveGBybi5eAw1YId6bpTOhtW6d8lDubqjSQUaSyiefX40eLnL*WlRJr5GoTd6UbZY6HWC6OlNxCSMAEkc862bzt/QQQQQ.jpg)
Cannavaro aikosa... Azam FC
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Samatta aikosa CSKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3ceU1XS69fJJ6lf8vt7MGl8tRCWa9GnT1So1zsHODjpraIvBO9t00Iuo7042ISPgs9BSBu4O1CGlG9HUuq2VIP/MAYA3.gif?width=650)
MAYA AZIDIWA, AIKOSA KANUMBA DAY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4VCpdnaUHLaibGmjjWbKgZtg2NuBeR8xNguojquVlcPHcEnSR8OMKTzT9uGIvq8p-y3GNmJr94s9pGqEjCq32Ua/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
SINDANO WEE ZISIKIE TU!
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Wataka Tembo wadungwe sindano
KUTOKANA na kero ya wanyama aina ya Tembo kushambulia mazao ya wananchi, na kuwaingizia hasara, wananchi wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi ya Serengeti wilayani Bunda, wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ya...
10 years ago
Mtanzania03 Oct
Katiba yapenya tundu la sindano
![Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakicheza ndani ya ukumbi wa bunge Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/mduara-bungeni.jpg)
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakicheza ndani ya ukumbi wa bunge Dodoma
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
RASIMU ya Katiba inayopendekezwa inaonekana kuigawa nchi, baada ya wajumbe wa Bunge Maalumu kuipitisha mjini Dodoma jana.
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura ambazo zilionyesha kupatikana kwa theluthi mbili upande wa Tanzania Bara na Zanzibar, wananchi wa kada tofauti, viongozi wa kisiasa, dini, wasomi na taasisi mbalimbali wameonyesha wazi kutofautiana.
Miongoni mwa makundi hayo,...
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Wanafunzi wadungwa sindano kuzuia mimba
NA MWANDISHI WETU
WAKATI taifa likihaha kusaka tiba ya mimba za utotoni ili kuwezesha watoto wa kike kupata elimu, baadhi ya wauguzi wilayani Newala, Mtwara, wameibuka na mbinu mpya.
Wauguzi hao wanadaiwa kuwachoma sindano za uzazi wa mpango wanafunzi wa shule za msingi, kinyume cha utaratibu kwa lengo la kuwakinga na mimba zisizotarajiwa.
Hayo yamebainika kupitia taarifa ya Matokeo ya Ripoti ya Utafiti uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA).
TAMWA iliendesha...
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
WHO yataka Sindano itumike mara moja