Katiba yapenya tundu la sindano
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakicheza ndani ya ukumbi wa bunge Dodoma
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
RASIMU ya Katiba inayopendekezwa inaonekana kuigawa nchi, baada ya wajumbe wa Bunge Maalumu kuipitisha mjini Dodoma jana.
Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura ambazo zilionyesha kupatikana kwa theluthi mbili upande wa Tanzania Bara na Zanzibar, wananchi wa kada tofauti, viongozi wa kisiasa, dini, wasomi na taasisi mbalimbali wameonyesha wazi kutofautiana.
Miongoni mwa makundi hayo,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Rais Jonathan atapenya tundu la sindano 2015?
NOVEMBA 11 mwaka huu, Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan alitangaza rasmi nia yake ya kuwania kiti cha urais kwa muhula mwingine wa pili, katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Februari mwaka...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee48a5mUCtQKlJpa5kkph6bTuyiBxb0pkQ1AXpnD5UORpiAHfSEqfTLlWnQH1fKaefb0Z49gBT7PQKmYYqTQle8lP/001.jpg)
MAKUNDI 10 YAPENYA NUSU FAINALI DANSI 100%
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4VCpdnaUHLaibGmjjWbKgZtg2NuBeR8xNguojquVlcPHcEnSR8OMKTzT9uGIvq8p-y3GNmJr94s9pGqEjCq32Ua/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
SINDANO WEE ZISIKIE TU!
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Wataka Tembo wadungwe sindano
KUTOKANA na kero ya wanyama aina ya Tembo kushambulia mazao ya wananchi, na kuwaingizia hasara, wananchi wanaoishi pembezoni mwa Hifadhi ya Serengeti wilayani Bunda, wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ya...
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
WHO yataka Sindano itumike mara moja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuUDvJbaWG15gzFmu*1V1LmYtB1ImsLzD9PfJt8MbvkqyF5zClw-Po1aLt32wvAsA5u4ex8-zQjlB*Cq2frThEV0/kiongera.jpg)
Sindano zamlaza Kiongera, aikosa Yanga
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Wanafunzi wadungwa sindano kuzuia mimba
NA MWANDISHI WETU
WAKATI taifa likihaha kusaka tiba ya mimba za utotoni ili kuwezesha watoto wa kike kupata elimu, baadhi ya wauguzi wilayani Newala, Mtwara, wameibuka na mbinu mpya.
Wauguzi hao wanadaiwa kuwachoma sindano za uzazi wa mpango wanafunzi wa shule za msingi, kinyume cha utaratibu kwa lengo la kuwakinga na mimba zisizotarajiwa.
Hayo yamebainika kupitia taarifa ya Matokeo ya Ripoti ya Utafiti uliofanywa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA).
TAMWA iliendesha...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Achoma sindano yenye mchanganyiko wa pombe, oil kukuza misuli
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: 'Sina mpango wa kuanzisha sindano za dawa ya mitishamba', asema Rajoelina