Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Jonathan atapenya tundu la sindano 2015?

NOVEMBA 11 mwaka huu, Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan alitangaza rasmi nia yake ya kuwania kiti cha urais kwa muhula mwingine wa pili, katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Februari mwaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Katiba yapenya tundu la sindano

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakicheza ndani ya ukumbi wa bunge Dodoma

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakicheza ndani ya ukumbi wa bunge Dodoma

NA MAREGESI PAUL, DODOMA

RASIMU ya Katiba inayopendekezwa inaonekana kuigawa nchi, baada ya wajumbe wa Bunge Maalumu kuipitisha mjini Dodoma jana.

Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kura ambazo zilionyesha kupatikana kwa theluthi mbili upande wa Tanzania Bara na Zanzibar, wananchi wa kada tofauti, viongozi wa kisiasa, dini, wasomi na taasisi mbalimbali wameonyesha wazi kutofautiana.

Miongoni mwa makundi hayo,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na Rais Jonathan wa Nigeria

go2

 

Rais Jakaya Kikwete na Rais Goodluck Jonathan jijini Abuja, NIgeria leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Mei 8, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Nigeria, Mheshimiwa Goodluck Jonathan katika Hoteli ya Transcorp Hilton katika mji mkuu wa nchi hiyo wa Abuja.

Katika mazungumzo hayo, Rais Kikwete kwa mara nyingine, amewasilisha rambirambi rasmi za Tanzania, za Watanzania na za kwake mwenyewe kwa kiongozi huyo wa Nigeria...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Jonathan ang'aka ye si mkwasi

Rais Goodluck Jonathan hivi karibuni ameng'aka kuwa jina lake kujumuishwa katika orodha ya marais tajiri Africa haina msingi .

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck Jonathan aomba msaada

Serikali ya Nigeria inahitaji msaada wa dola billioni moja ili kukabilina na wanamgambo wa Boko Haram ambao wanazusha vurugu

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Jonathan - mabango yang'olewe

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ameamuru mabango ya uchaguzi yenye kauli mbiu ya 'Bring Back Jonathan 2015' yang'olewe .

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Goodluck Jonathan kuzuru Chibok

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan anatarajiwa kuzuru mji ulio Kaskazini mashariki mwa nchi wa Chibok ambako wasichana zaidi ya 200 wa shule walitekwa nyara mwezi uliopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete ampiga kijembe Tundu Lissu

Rais Jakaya Kikwete amempiga kijembe Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu akisema amekuwa akiwachanganya wenzake katika masuala ya kisheria.

 

10 years ago

GPL

SINDANO WEE ZISIKIE TU!

Baada ya kuona kwa siku nne mfululizo nina kuwa na ndoto inajirudia, nimeona nitafute msaada wa kitaalamu. Kila ikifika saa nane ya usiku ndoto ya kutisha inaanza, najiona nimeshashinda uchaguzi na nimechaguliwa kuwa rais, magazeti na mativi yote yananishangilia, wananchi wenye furaha wako mitaani na mabango yenye jina langu, mipango yote ya kuniapisha inaanza, umeme unakatika wapambe wanajitahidi kurudisha umeme inashindikana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani