WHO yataka Sindano itumike mara moja
Shirika la afya duniani limependekeza sindano iwe ikitumika mara moja iliizuie maambukizi ya magonjwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Waliojiandikisha zaidi ya mara moja kikaangoni
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema majina ya watu waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika Daftari la Wapigakura, yamekabidhiwa kwa vyombo vya dola ili taratibu za kisheria zifuatwe ikiwamo kuwapeleka mahakamani.
Akizungumza katika kituo cha uchakatuaji (maandalizi) wa vitambulisho vya wapigakura jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Ramadhani Kailima, alisema sheria inawataka watakaotiwa hatihani kutumikia kifungo au kulipa...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Watoto milioni moja kupewa chanjo Mara
ZAIDI ya watoto milioni 1.8 wanatarajiwa kupatiwa chanjo, ikiwemo ya surua na rubella, matone ya vitamini A na dawa za minyoo katika Mkoa wa Mara katika kampeni iliyoanza Oktoba 18...
10 years ago
StarTV02 Dec
CCM kuwashughulikia waliojiandikisha zaidi ya mara moja.
Na Sudi Shaabani, Mwanza.
Chama cha Mapinduzi CCM kimeahidi kuwachukulia hatua za kisheria wale wote watakaobainika kuwa wamejiandikisha zaidi ya mara mbili katika daftari la mkazi hali iliyosababisha zoezi la uandikishaji kutofikia malengo yake kwa asilimia mia.
Mpaka sasa CCM wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimewabaini watu kadhaa ambao wamehusika na tukio hilo maarufu kama mamluki na tayari wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria.
Zoezi la uandikishaji katika daftari la mkazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL1taVEa4zHhJsjWuP6v2BikBc7NKrhS*bcVLVnX2nYVQ7Zckirr*rhGKcHEV224SQgnsN8HOyc*JatvGJ2UJrBR/7.jpg?width=650)
MUMEO AKIKUSALITI MARA MOJA, UKIMUACHA IMEKULA KWAKO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qj1d2gS6qCLtMNdPeLEyVNVZsH5ecIlPdYHkpS4ZCEW9sihXVzpkeML4s6STkyY8vfOH-BKwZViTciYJwnzPVZF/mahaba.jpg?width=650)
UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO HAKIKISHAHUBANDUKI NJIA KUU
9 years ago
Dewji Blog28 Aug
Waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari la wapiga kura kuchuliwa za kisheria
Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Sisti Cariah (katikati) akiwaonyesha waandishi wa habari utaratibu wa uhifadhi wa fomu za taarifa za wananchi waliojiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, jana Alhamisi (Agosti 27, 2015)Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey.
Afisa TEHAMA katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Adolf Kinyelo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu...
9 years ago
MichuziDC AAGIZA MUUGUZI ALIYEKAMATWA KWA WIZI WA DAWA SHINYANGA ASIMAMISHWE KAZI MARA MOJA
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Ndingi Mwana a'Nzeki: Askofu aliyekiri kusema uongo mara moja azikwa Kenya