Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO yataka Sindano itumike mara moja

Shirika la afya duniani limependekeza sindano iwe ikitumika mara moja iliizuie maambukizi ya magonjwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Waliojiandikisha zaidi ya mara moja kikaangoni

BVRNa Aziza Masoud, Dar es Salaam

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema majina ya watu waliojiandikisha zaidi  ya mara moja  katika Daftari la Wapigakura, yamekabidhiwa kwa vyombo vya dola ili taratibu za kisheria zifuatwe ikiwamo kuwapeleka mahakamani.

Akizungumza katika kituo cha uchakatuaji (maandalizi) wa vitambulisho vya wapigakura jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Ramadhani Kailima, alisema sheria inawataka watakaotiwa hatihani kutumikia kifungo au kulipa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto milioni moja kupewa chanjo Mara

ZAIDI ya watoto milioni 1.8 wanatarajiwa kupatiwa chanjo, ikiwemo ya surua na rubella, matone ya vitamini A na dawa za minyoo katika Mkoa wa Mara katika kampeni iliyoanza Oktoba 18...

 

10 years ago

StarTV

CCM kuwashughulikia waliojiandikisha zaidi ya mara moja.

Na Sudi Shaabani, Mwanza.

Chama cha Mapinduzi CCM kimeahidi kuwachukulia hatua za kisheria wale wote watakaobainika kuwa wamejiandikisha zaidi ya mara mbili katika daftari la mkazi hali iliyosababisha zoezi la uandikishaji kutofikia malengo yake kwa asilimia mia.

 

Mpaka sasa CCM wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimewabaini watu kadhaa ambao wamehusika na tukio hilo maarufu kama mamluki na tayari wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria.

 

Zoezi la uandikishaji katika daftari la mkazi...

 

11 years ago

GPL

MUMEO AKIKUSALITI MARA MOJA, UKIMUACHA IMEKULA KWAKO!

WIKI iliyopita nilimalizia makala iliyokuwa inazungumzia mambo ambayo unatakiwa kuyaepuka ndani ya ndoa yako ili kuifanya iwe ya furaha na amani. Wapo ambao waliona ugumu katika kutekeleza baadhi ya mambo. Kwa mfano, kuna ambao walinipigia simu na kuniambia, licha ya kwamba wanajua wake zao hawapendi masuala ya pombe lakini inakuwa vigumu kwao kuacha. Kuna ambao wanajua wake zao hawapendi wao wachelewe kurudi nyumbani lakini wao...

 

11 years ago

GPL

UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO HAKIKISHAHUBANDUKI NJIA KUU

Jumanne iliyopita (Aprili 22), niliandika ujumbe katika akaunti zangu za mitandao ya kijamii, Facebook (Luqman Maloto), Twitter (@luqmanmaloto) na instagram (@LuqmanMaloto) wenye lengo la kushauri marafiki zangu kuheshimu mapenzi wanayopata kutoka kwa wenzi wao. Niliandika: “Kabla hujamfanyia vitimbi mwenzi wako. Kabla hujachepuka, ukamsaliti na kumsababishia maumivu makali ya moyo pamoja na usumbufu usiomithilika katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waliojiandikisha zaidi ya mara moja katika daftari la wapiga kura kuchuliwa za kisheria

1.

Mkuu wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Sisti Cariah (katikati) akiwaonyesha waandishi wa habari utaratibu wa uhifadhi wa fomu za taarifa za wananchi waliojiandisha katika daftari la kudumu la wapiga kura, jana Alhamisi (Agosti 27, 2015)Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey.

2.

Afisa TEHAMA katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Adolf Kinyelo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu...

 

9 years ago

Michuzi

DC AAGIZA MUUGUZI ALIYEKAMATWA KWA WIZI WA DAWA SHINYANGA ASIMAMISHWE KAZI MARA MOJA

  Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha afya Kambarage mjini Shinyanga ili kujionea hali halisi jinsi huduma zinavyotolewa kwa wananchi siku moja tu baada ya muuguzi wa kituo hicho kukamatwa kwa tuhuma ya kuiba dawa za serikali.Pichani ni mkuu wa wilaya Josephine Matiro na katibu tawala wa wilaya ya Shinyanga wakiwa katika chumba cha kuhifadhia dawa wakiwa wamepigwa butwaa baada ya kuona chumba kimesheheni dawa wakati mara kwa mara...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ndingi Mwana a'Nzeki: Askofu aliyekiri kusema uongo mara moja azikwa Kenya

Askofu Ndingi Mwana a'Nzeki, ambaye amefariki akiwa na miaka 89 amezikwa leo Jumanne jijini Nairobi baada ya kuishi maisha marefu yenye kumbukumbu tele ikiwemo za kupambania haki na Amani nchini Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani