Watoto milioni moja kupewa chanjo Mara
ZAIDI ya watoto milioni 1.8 wanatarajiwa kupatiwa chanjo, ikiwemo ya surua na rubella, matone ya vitamini A na dawa za minyoo katika Mkoa wa Mara katika kampeni iliyoanza Oktoba 18...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Watoto milioni 21 kupewa chanjo ya surua
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Watoto 35,000 kupewa chanjo Bunda
ZAIDI ya watoto 35,000 watapatiwa chanjo ya surua na kifua kikuu katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, katika zoezi lililoanza hivi karibuni baada ya kuzinduliwa katika Wiki ya Chanjo Duniani....
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Asilimia 95 ya watoto kupewa chanjo ya surua na rubella
HALMASHAURI ya Wilaya ya Iringa inatarajia kutoa chanjo ya surua na rubella kwa watoto 111,711 na dawa za matende na mabusha kwa watu wazima 264,076 katika kampeni inayoendelea nchini. Akizungumza...
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Watoto milioni moja wauawa katika Vita
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Je watoto hawa wanawezaje kupata dola milioni moja kupitia mtandao?
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Wasichana kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa uzazi
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wanafunzi kupewa chanjo homa ya ini Dar
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Matatizo yanayowafanya watoto waugue mara kwa mara
Watoto wanaopatwa na matatizo ya kuugua mara kwa mara ni wale walio katika umri wa chini ya miaka mitano. Watoto hawa huumwa na wanapogundulika kuwa ni wagonjwa tayari hali inakuwa mbaya.
Hii ni kwa kuwa watoto hawa hawana uwezo wa kujieleza mara tu wanapopata dalili za awali za ugonjwa. Pamoja na yote, magonjwa au maradhi ya watoto huanzia mbali sana kama tutakavyokuja kuona.
Inawezekana kabisa mtoto asiugue na akaishi vizuri kuanzia anapozaliwa hadi anavuka umri wa miaka mitano. Matatizo...