Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto 35,000 kupewa chanjo Bunda

ZAIDI ya watoto 35,000 watapatiwa chanjo ya surua na kifua kikuu katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, katika zoezi lililoanza hivi karibuni baada ya kuzinduliwa katika Wiki ya Chanjo Duniani....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watoto milioni 21 kupewa chanjo ya surua

Zaidi ya nusu ya wananchi kesho wanatarajiwa kuanza kupatiwa chanjo ya surua na rubella katika vituo vyote vya afya nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Asilimia 95 ya watoto kupewa chanjo ya surua na rubella

HALMASHAURI ya Wilaya ya Iringa inatarajia kutoa chanjo ya surua na rubella kwa watoto 111,711 na dawa za matende na mabusha kwa watu wazima 264,076 katika kampeni inayoendelea nchini. Akizungumza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto milioni moja kupewa chanjo Mara

ZAIDI ya watoto milioni 1.8 wanatarajiwa kupatiwa chanjo, ikiwemo ya surua na rubella, matone ya vitamini A na dawa za minyoo katika Mkoa wa Mara katika kampeni iliyoanza Oktoba 18...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto 5,000 kupata chanjo Arusha

Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro imeanza kutekeleza kazi ya kutoa chanjo dhidi ya magonjwa yanayozuilika kwa watoto zaidi 5,000 wa jamii ya wafugaji wa Kimasai wanaoishi katika kata saba za Tarafa ya Ngorongoro zilizoko ndani ya eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCCA). 

 

11 years ago

Dewji Blog

Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida

DSC07952

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.

DSC07953

DSC07970

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu

JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi kupewa chanjo homa ya ini Dar

Wanafunzi wa shule zote za msingi na sekondari mkoani Dar es Salaam, wanatarajiwa kupewa chanjo ya maambukizi ya Homa ya Ini ‘Hepatitis B’, kama njia mbadala ya kukabiliana na kasi ya maambukizi ya ugonjwa huo nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasichana kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa uzazi

Watoto wa kike nchini kote wataanza kupewa chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi ifikapo mwaka 2016.

 

9 years ago

Habarileo

Maji yaua watoto 2 Bunda

MVUA zinazoendelea kunyesha wilayani Bunda, mkoani Mara zimesababisha kifo cha mtoto wa miaka sita, baada ya kusombwa na maji.

 

10 years ago

GPL

TAYO WA BBA AKANUSHA KUPEWA $350,000 NA BILIONEA

Tayo (kulia) akiwa na mshindi wa BBA 2014 Hotshots, Idris (kushoto). Mshindi wa pili wa BBA Hotshots, Tayo kutoka Nigeria amekanusha habari zilisambaa wiki hii kuwa amezawadiwa $350,000 na bilionea wa Nigeria, Ayiri Emani baada ya kuzikosa $300,000 za BBA zilizonyakuliwa na Idris wa Tanzania. Tayo amekanusha habari hizo alipohojiwa na kituo cha Radio 1 South Africa. Amesema kuwa habari hizo za kupewa kiasi hicho kikubwa cha pesa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani