Je watoto hawa wanawezaje kupata dola milioni moja kupitia mtandao?
Watoto wenye ushawishi kwa watoto wenzao walifanya jaribio la mamlaka waliyonayo katika onyesho la mwaka la New York la wanasesere.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-I1cf5hw6HFs/VOR0A0M0fNI/AAAAAAAABRw/gTcPxKp2gLw/s72-c/ATM-Theft.jpg)
MAMILIONI YA DOLA YAIBIWA KATIKA MABENKI KUPITIA WIZI MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-I1cf5hw6HFs/VOR0A0M0fNI/AAAAAAAABRw/gTcPxKp2gLw/s1600/ATM-Theft.jpg)
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Tishio la uhalifu mtandao na utayari wa kukabiliana nao bado kuna kutowiana ipasavyo ingawa jitihada bado ni kubwa kuweza kukabiliana na...
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Mashabiki wa bendi ya BTS wachangisha dola milioni moja.
10 years ago
MichuziHalmashauri ya Geita kupata wastani wa Dola za Marekani milioni 1.8 kutoka GGM
Halmashauri ya Geita itaanza kupata wastani wa Dola za Marekani milioni 1.8 kwa mwaka kutoka Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) baada ya kusainiwa rasmi kwa marekebisho ya mkataba baina ya kampuni hiyo na Serikali.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo kabla ya kutiliana saini marekebisho ya mkataba huo ambao uliosainiwa awali mwaka 1999. Awali, Halmashauri hiyo ilikuwa ikipata ushuru wa huduma wa Dola za Marekani...
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Tanzania kuwekeza dola milioni 120 katika mtandao wake 2015
Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Cecile Tiano akiongea na waandishi wa habari kuhusu kampuni yake itakavyowekeza mwaka huu, Kulia ni Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.
Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi cha dola milioni 120 (Shilingi bilioni 221) mwaka huu kwa ajili ya upanuzi wa mtandao wake utakao ongeza ufanisi wa huduma zake nchini.
Akizungumza mipango hiyo ya kampuni kwa mwaka 2015, Kaimu Meneja Mkuu wa Tigo Bi.Cecile Tiano alisema kwamba uwekezaji wa mwaka huu ni ishara...
10 years ago
VijimamboWatanzania Waishio Nje ya Nchi sasa Kupata Filamu za Kitanzania Kupitia Mtandao
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI SASA KUPATA FILAMU ZA KITANZANIA KUPITIA MTANDAO
9 years ago
MichuziZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Tigo yafikia wafuasi Milioni Moja katika mtandao wa Facebook
![](http://3.bp.blogspot.com/-XmCPLA9kPm0/VoH-CuAOqGI/AAAAAAAAXsk/m0p3NprQxO0/s640/Untitled.jpg)
Kampuni ya Tigo Tanzania hivi karibunii metangaza kufikisha wafuasi milioni moja katika mtandao wao wa Facebook. Katika ukarasa wake wa Facebook, www.facebook.com/TigoTanzania kampunii lifikisha mfuasi wa milioni moja Jumapili Desemba 27 mwaka huu hapa Tanzania.
Kutokana na ongezeko la matumizi ya mtandao wa kijamii wa Facebook hapa nchini, Facebook imekuwa mstari wa mbele katika matumizi kutokana uzinduzi wa Facebook katika lugha ya Kiswahili uliofanyika mwaka wa 2014 kwa ushirikiano wa...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Watoto milioni moja kupewa chanjo Mara
ZAIDI ya watoto milioni 1.8 wanatarajiwa kupatiwa chanjo, ikiwemo ya surua na rubella, matone ya vitamini A na dawa za minyoo katika Mkoa wa Mara katika kampeni iliyoanza Oktoba 18...