Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wa bendi ya BTS wachangisha dola milioni moja.

Mashabiki wa bendi ya mziki ya BTS wanaojiita 'Army' wamechangisha dola milioni moja kwa harakati ya 'Black Lives Matter'.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Je watoto hawa wanawezaje kupata dola milioni moja kupitia mtandao?

Watoto wenye ushawishi kwa watoto wenzao walifanya jaribio la mamlaka waliyonayo katika onyesho la mwaka la New York la wanasesere.

 

10 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI WACHANGISHA MILIONI 31 KUSAIDIA WENZAO

Mwenyekiti wa Kampeni iliyolenga kupata fedha kwa ajili ya kuwasaidia wanahabari wanaougua magonjwa sugu yakiwepo ya saratani, (MEDIA CAR WASH FOR CANCER) , Benjamin Thompson akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza kiasi cha fedha kilichopatikana katika harambee ya jijini Dar es Salaam ambapo kiasi cha shilingi Milioni 31 zilipatikan ikiwa ni ahadi na taslimu. Kulia ni Mjumbe wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi wa MAELEZO, Zamaradi Kawawa. Harambee nyingine kama...

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA WATU 21 YA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WASHUKA KUTOKA MLIMA KILIMANJARO,WACHANGISHA MILIONI 800 KWA AJILI YA ELIMU TANZANIA.

Timu ya watu 21 ya wafanyakazi ,Ndugu na Marafiki wa Kampuni ya kuchimba dhahabu ya Acacia wakishuka kutoka mlima Kilimanjaro ambako walipanda kwa ajili ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia elimu.Afisa Mtendaji mkuu wa Kampuni ya uchimbaji wa Dhahabu ya Acacia,Brad Gordon akiwa na Meneja wa Ustawi wa kampuni Asa Mwaipopo wakifurahia mara baada ya kushuka toka kaika kilele cha Uhuru ambako watu 19 kati ya 21 ndio walifanikiwa kufika kileleni.Meneja wa Kitengo cha Mawasiliano na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Bendi ya kijanja Skylight yazidi kupagawisha mashabiki wake Thai Village

DSC_0006

Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Madiva wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige).

loveness

Birthday Girl mdau wa Skylight Band Loveness akihamaki alipokuwa akiimbiwa wimbo maalum na Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita alipoadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.

DSC_0130

Aaaaah imagine sauti inayotoka hapo…Si mwingine ni Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha fans wa Skylight Band.

DSC_0019

 

11 years ago

GPL

BENDI YA KIJANJA SKYLIGHT YAZIDI KUPAGAWISHA MASHABIKI WAKE THAI VILLAGE‏

Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Madiva wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige). Birthday Girl mdau wa Skylight Band Loveness akihamaki alipokuwa akiimbiwa wimbo maalum na Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita alipoadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Bendi ya Q Chief ‘QS International Band’ imegharimu shilingi milioni 40

Q Chief

Q Chief amekamilisha maandalizi ya bendi yake mpya ya muziki iitwayo ‘QS International Band’ aliyodai imegharimu zaidi ya shilingi milioni 40.

Q Chief

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo Mkungu wa Ndizi akiwa na TID hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa huo ndio utakuwa mwisho wake wa kufanya show kwa kutumia play back.

“Sitofanya show yoyote bila bendi yangu,” alisema. “Hii itanitoa kutoka daraja la kawaida kwenda daraja lingine kubwa kwa sababu muziki umebadilika kila msanii anataka kuwa na bendi....

 

9 years ago

Dewji Blog

Mashabiki wazidi kuifangilia Skylight Band njoo leo upate vitu vipya kutoka kwenye Bendi hiyo

 Hakika kwenye shoo ya Skylight ya kila Jumapili sio ya kukosa njoo ujionee mambo mazuri kutoka katika bendi ya Skylight…..Just Follow the Light.   Sam Mapenzi na Natasha wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Escape One jumapili iliyopita, bila kukosa ya leo itakuwa pale pale.  Mwimbaji wa Bandi ya Skylight, Leah (katikati) akiongoza akitoa burudani ya nguvu mbele ya mashabiki wao huku akisindikizwa na Sony Masamba (kushoto) pamoja na Leah(kulia)

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:atoa ahadi ya dola bilioni moja

Wajasiriamali jijini Nairobi wamesifu rais wa Marekani Barack Obama kwa kuwachangia dolla billion moja

 

11 years ago

BBCSwahili

Dola milioni 35 kugombaniwa fainali

Argentina na Ujerumani zitagombania dola milioni 35 kwenye mechi ya fainali mjini Rio De Janeiro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani