WAANDISHI WA HABARI WACHANGISHA MILIONI 31 KUSAIDIA WENZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MT6nP57FcxM/VZ5s-tJpX7I/AAAAAAAAfCo/-UHmaf940a4/s72-c/IMG-20150709-WA0023.jpg)
Mwenyekiti wa Kampeni iliyolenga kupata fedha kwa ajili ya kuwasaidia wanahabari wanaougua magonjwa sugu yakiwepo ya saratani, (MEDIA CAR WASH FOR CANCER) , Benjamin Thompson akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza kiasi cha fedha kilichopatikana katika harambee ya jijini Dar es Salaam ambapo kiasi cha shilingi Milioni 31 zilipatikan ikiwa ni ahadi na taslimu. Kulia ni Mjumbe wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi wa MAELEZO, Zamaradi Kawawa. Harambee nyingine kama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s72-c/2.jpg)
KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0mRYsTNfsTY/VbjFrQRCHDI/AAAAAAAC9Dc/Qvr15tviQZk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fa5_n9_MOso/VbjFqqe6J3I/AAAAAAAC9DU/P_FbShviPM0/s640/3.jpg)
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Mashabiki wa bendi ya BTS wachangisha dola milioni moja.
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Wakurdi wa Iraq kusaidia wenzao Syria
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s72-c/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 21 YA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WASHUKA KUTOKA MLIMA KILIMANJARO,WACHANGISHA MILIONI 800 KWA AJILI YA ELIMU TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s640/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cCN8zZglqsg/VZHCwcMpjII/AAAAAAAARk0/Gy5SORXD49E/s640/E86A1893%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_fT-hj1aXo/VZHCxONJ9jI/AAAAAAAARk4/nViv3ApWAUU/s640/E86A1898%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oL1ZaEtiEBA/VZHC42LrgoI/AAAAAAAARlE/IgTbFcRJ7_0/s640/E86A1913%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
StarTV04 Dec
Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta
Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.
Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari watakiwa kuwa makini na habari za uchaguzi 2015 wanazoziripoti
Na Edwin Moshi, MbeyaVyombo vya habari nchini vimetakiwa kuwa makini na kuripoti habari za uchaguzi mkuu wa mwaka huu kufuata maadili na weledi wa taaluma hiyo ili kufanikisha uchaguzi huo kwa amani
Hayo yamesemwa leo jijini Mbeya na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA wakati wakiwapa semina mameneja na wamiliki wa vyombo vya habari vilivyopo kanda ya nyanda za juu kusini...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/IbsHjlT0tFc/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MABALOZI WA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP) WAIDHINISHA EURO MILIONI 350 MILIONI ZA KUSAIDIA KULINDA AMANI AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s1600/unnamed+(25).jpg)
9 years ago
MichuziWAANDISHI HABARI WA ZANZIBAR WAPATIWA MBINU BORA ZA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI MKUU.