WAANDISHI HABARI WA ZANZIBAR WAPATIWA MBINU BORA ZA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI MKUU.
Mwandishi Mkongwe wa Tasnia ya Habari Tanzania ambae pia ni Mkurugenzi wa Internews Tanzania Valerie N. Msoka akifafanua kitu kwa wandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo juu ya kuripoti uchaguzi Mkuu.
Mkurugenzi wa Shirika la Internews kanda ya Afrika Ian Noble akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari juu ya kuripoti habari za Uchaguzi, alipotembelea katika mafunzo hayo huko ukumbi wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Weles Mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Shirika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSHIRIKA LA HABARI LA MAREKANI INERNEWS LAANDAA MAFUNZO YA SIKU TANO KWA WAANDISHI WA HABARI WA ZANZIBAR JUU YA KURIPOTI UCHAGUZI MKUU.
9 years ago
VijimamboWAANDISHI WA HABARI ZANZIBAR WAPATA MAFUNZO YA SIKU TANO YA JINSI YA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Shirika la Habari la Marekani la Internews laendesha mafunzo ya kuripoti habari za uchaguzi mkuu kwa waandishi wa ZNZ
Mhadhiri wa Sheria, Kitivo cha Sheria Zanzibar University, Ali Uki akionyesha kitabu cha Sheria cha Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kitabu cha Sheria cha Tanzania na cha Zanzibar ambavyo vinawapasa waandishi wa habari kuvisoma na kuzitumia sheria hizo katika kuandika habari za Uchaguzi Mkuu kwa usahihi.
Mkufunzi na Mwandishi Mkongwe wa Tasnia ya Habari Zanzibar Salim Said Salim akitoa mada katika mafunzo ya siku tano juu ya kuandika Habari za Uchaguzi Mkuu yaliyoandaliwa na...
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Shirika la Habari la Marekani la Inernews laendesha mafunzo ya siku tano kwa wanahabari Visiwani Zanzibar juu ya kuripoti habari za uchaguzi mkuu
Mhadhiri wa Sheria, Kitivo cha Sheria Zanzibar University, Ali Uki akionyesha kitabu cha Sheria cha Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kitabu cha Sheria cha Tanzania na cha Zanzibar ambavyo vinawapasa waandishi wa habari kuvisoma na kuzitumia sheria hizo katika kuandika habari za Uchaguzi Mkuu kwa usahihi.
Mkufunzi na Mwandishi Mkongwe wa Tasnia ya Habari Zanzibar Salim Said Salim akitoa mada katika mafunzo ya siku tano juu ya kuandika Habari za Uchaguzi Mkuu yaliyoandaliwa na...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
MSEMAJI WA SERIKALI: Wanahabari zingatieni miiko na maadili ya taaluma kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mapema leo Oktoba 22.2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO. Anayeshuhudia kushoto ni afisa wa Idara hiyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[ILALA-DAR ES SALAAM] Mkurugenzi wa Idara Habari Maelezo, Assah Mwambene amekutana na wanahabari mbalimbali mapema leo na kuwapa elimu juu ya kuzingatia maadili na misingi ya uandishi wa Habari...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
JET yahamasisha waandishi kuripoti habari za mazingira
Katibu mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Mazingira Tanzania (JET) John Chikomo, akitoa taarifa yake ya utendaji pamoja na fedha mbele ya mkutano mkuu wa mwaka 2013 wa chama hicho. Mkutano huo uliohudhuriwa na wananchama wengi, ulifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Lion iliyopo Sinza jijini Dar-es-salaam.Wa pili kushoto (waliokaa) ni mwenyekiti wa JET, Johnson Mbwambo na anayefuata ni katibu christom Rweyemamu na wa kwanza kulia ni mjumbe wa kamati ya bodi.
Na Nathaniel...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari watakiwa kuwa makini na habari za uchaguzi 2015 wanazoziripoti
Na Edwin Moshi, MbeyaVyombo vya habari nchini vimetakiwa kuwa makini na kuripoti habari za uchaguzi mkuu wa mwaka huu kufuata maadili na weledi wa taaluma hiyo ili kufanikisha uchaguzi huo kwa amani
Hayo yamesemwa leo jijini Mbeya na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA wakati wakiwapa semina mameneja na wamiliki wa vyombo vya habari vilivyopo kanda ya nyanda za juu kusini...
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
TAMWA yawataka waandishi wa habari kujikita kuripoti unyanyasaji wa kijinsia
Mkufunzi Wence Mushi akitoa elimu kwa wanahabari waliokutana mkoani Iringa.
Na Fredy Mgunda, Iringa
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.
Msisitizo huo ulitolewa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa waandishi wa habari wa mikoa ya nyanda za juu kusini...