Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bendi ya Q Chief ‘QS International Band’ imegharimu shilingi milioni 40

Q Chief

Q Chief amekamilisha maandalizi ya bendi yake mpya ya muziki iitwayo ‘QS International Band’ aliyodai imegharimu zaidi ya shilingi milioni 40.

Q Chief

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo Mkungu wa Ndizi akiwa na TID hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa huo ndio utakuwa mwisho wake wa kufanya show kwa kutumia play back.

“Sitofanya show yoyote bila bendi yangu,” alisema. “Hii itanitoa kutoka daraja la kawaida kwenda daraja lingine kubwa kwa sababu muziki umebadilika kila msanii anataka kuwa na bendi....

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video ya ‘Don’t Bother’ imegharimu milioni 32 — asema Joh Makini

Johmakini.1

Mara nyingi wasanii wengi wa Bongo huwa hawapendi kutaja gharama walizotumia kwenye kazi zao hususan video wanazofanya, na kila mmoja huwa anasababu zake tofauti za kutotaka kusema ametumia kiasi gani.

Johmakini.1

Rapper wa Weusi, Joh Makini ambaye hivi sasa wimbo wake mpya ‘Don’t Bother’ umekuwa ‘talk of the town’ toka alipoachia video Alhamisi, iliyofatiwa na audio iliyotoka siku ya Ijumaa (Nov 13) ametaja gharama iliyotumika kukamilisha video hiyo.

Joh makini amesema video hiyo iliyofanyika Afrika...

 

10 years ago

Bongo5

Video: MB Dogg aezelea ujio mpya, ngoma yake na Q-Chief na bendi yao

MB Dogg amesaini mkataba mpya na kampuni ya QS Mhonda J ambayo ndiyo iliyomsainisha pia Q-Chief hivi karibuni. Wawili hao wataanzisha bendi ya pamoja ya kampuni yao, QS Music Band pamoja na waimbaji wengine. Akiongea na Bongo5 TV, MB Dogg amesema wiki ijayo wimbo alioshirikishwa na Q-Chief utaachiwa rasmi huku ngoma yake mwenyewe iitwayo ‘Herufi […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mashabiki wa bendi ya BTS wachangisha dola milioni moja.

Mashabiki wa bendi ya mziki ya BTS wanaojiita 'Army' wamechangisha dola milioni moja kwa harakati ya 'Black Lives Matter'.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt . Gharib Bilal atembelea Banda la Fastjet maonesho Swahili International Tourism Expo (S!TE)

Utambulisho

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal akitambulishwa kwa wafanyakazi wa Fastjet na Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati wakati wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo (S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana.

IMG_2137

bilal,kbati, lucy

Meneja Mkuu wa Fastjet  Afrika Mashariki Jimmy Kibati akimkaribisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt . Gharib Bilal wakati uzinduzi wa maonesho ya Swahili International Tourism Expo(S!TE) Jijini Dar Es Salaam jana. Pembeni ni Afisa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Mizengo Pinda atembelea banda la kampuni ya Property International Limited katika maonyesho ya Sabasaba

1w

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Miengo Pinda akiwasili kwenye banda la Kampuni ya Property Itnernational Limited ya jijini Dar es salaam wakati alipotembelea banda hilo Katika maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa (TANTRADE) kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam, Ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo inayojihusisha na miradi mikubwa ya upimaji na uuzaji wa viwanja vilivyopimwa kitaalamu maeneo mbalimbali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rinda lauzwa shilingi milioni 12 Marekani

Rinda la Vivien Leigh aliyeigiza kama Scarlet O'Hara katika filamu ya 'Gone With the Wind' limeuzwa kwa shilingi millioni 12.

 

11 years ago

GPL

AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA

Stori: Issa Mnally na Richard Bukos
MWANAMKE aliyetajwa kwa jina moja la Winfrida ambaye ni mke wa mtu amekwaa aibu ya karne baada ya kudaiwa kutaka kuuza kiwanja ambacho si mali yake na kujipatia fedha isivyo kihalali kutoka kwa mtu aitwaye Stanlaus Hajj ‘Stan’, Ijumaa lina mkanda kamili. Winfrida ambaye ni mke wa mtu akiwa mikononi mwa polisi baada ya kunaswa. Awali ilidaiwa kuwa mwanamke huyo, alichukua Sh....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani