Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA

Stori: Issa Mnally na Richard Bukos
MWANAMKE aliyetajwa kwa jina moja la Winfrida ambaye ni mke wa mtu amekwaa aibu ya karne baada ya kudaiwa kutaka kuuza kiwanja ambacho si mali yake na kujipatia fedha isivyo kihalali kutoka kwa mtu aitwaye Stanlaus Hajj ‘Stan’, Ijumaa lina mkanda kamili. Winfrida ambaye ni mke wa mtu akiwa mikononi mwa polisi baada ya kunaswa. Awali ilidaiwa kuwa mwanamke huyo, alichukua Sh....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

AIBU! MKE WA MTU AMWAGA RADHI

Na Dustan Shekidele, Morogoro. MWANAMKE mmoja aliyetambulika kama mke wa mtu, aliyetajwa kwa jina la Mama Sabrana, mwishoni mwa wiki iliyopita alijikuta kwenye aibu kubwa, baada ya kufanya mambo ndivyo sivyo ndani ya Ukumbi wa Rose Garden, uliopo Mafiga mjini hapa wakati wa sherehe za kumuaga binti wa dada’ke muigizaji maarufu nchini, Beatrice Holisi ‘Nina’. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1ORe6xr ...

 

10 years ago

GPL

KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Ni aibu iliyoje! Tabia ya wanawake kujiuza kwa kisingizio cha kusaka fedha kwa ajili ya Sikukuu ya Krismasi imewatokea puani wanawake zaidi ya kumi akiwemo mke wa mtu baada ya kunaswa mawindoni na kutiwa nguvuni. Makamanda wa Polisi pamoja na kikosi cha OFM wakiwataiti wanawke waliokuwa wakijiuza. Tukio hilo la aibu lilitokea katika msako maalum wa polisi waliotoa kolabo kwa Oparesheni Fichua...

 

10 years ago

GPL

AIBU KUBWA! MUUZA GENGE ACHEZEA KICHAPO KWA KUNASWA NA MKE WA MTU

Stori: Dustan shekidele. Morogoro/Risasi
Aibu kubwa! Muuza genge mmoja kwenye Soko la Mji Mpya mjini hapa ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akichezea kichapo kwa madai ya kunaswa na mke wa mtu kisha kutembezwa mtupu mtaani. Muuza genge aliyechezea kichapo baada ya kunaswa na mke wa mtu na kutembezwa mtupu mtaani. Fumanizi hilo lililojaza umati wa jinsi na rika zote wakiwemo watoto lilijiri katikati ya wiki hii,...

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU?

NAMSHUKURU Mungu kunikutanisha tena na nyinyi marafiki katika uwanja wetu wa elimu ya uhusiano. Hujakosea kusoma makala haya maana hapa ndipo tunapojifunza masuala mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya kila siku. Wiki iliyopita tulijifunza mada iliyokuwa inahusu nani anayestahili kuhongwa kati ya mwanaume na mwanamke. Bila shaka msomaji wangu ulipata elimu, kimsingi nilisema kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake, kutobweteka na...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2

HATUNA budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutukutanisha tena katika uwanja wetu maridhawa wa kupeana darasa la uhusiano. Siku zote ukikubali kupokea na kufanyia kazi yale tunayopeana kila Jumamosi kupitia safu hii. Leo ni siku ya wapendanao (valentine‘s day). Ni vyema basi ukaitumia siku hii kutafakari na umpendaye. Kumpa zawadi, kutafuta sehemu tulivu na kujadili uhusiano wenu.Ifanye siku hii kuwa mwanga mzuri wa penzi...

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

9 years ago

GPL

MUME WA MTU AFANYA MAMBO YA AIBU!

Richard Bukos Mwanaume mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja aliyedaiwa kuwa ni mume wa mtu, hivi karibuni alifanya mambo ya aibu ikiwemo kuvua nguo na kukata mauno mbele za wasichana. Baba huyo akisakata rumba. Tukio hilo lilijiri ndani ya Ukumbi wa Highway Night Park uliopo Ukonga jijini Dar wakati Bendi ya Mashujaa Musica ilipokuwa ikiporomosha burudani.Awali, mwanaume huyo ambaye ilidaiwa siku nyingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani