AIBU! MKE WA MTU AMWAGA RADHI
![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO3AHyf5gtwGL5zmQo7lz*wMzaJe5dErVKCqqXFQdpVQNGyAXElQfy37ld1QKghcOYVa26d03rlFinap2JaoYwKG/MkewaM2.jpg?width=650)
Na Dustan Shekidele, Morogoro. MWANAMKE mmoja aliyetambulika kama mke wa mtu, aliyetajwa kwa jina la Mama Sabrana, mwishoni mwa wiki iliyopita alijikuta kwenye aibu kubwa, baada ya kufanya mambo ndivyo sivyo ndani ya Ukumbi wa Rose Garden, uliopo Mafiga mjini hapa wakati wa sherehe za kumuaga binti wa dada’ke muigizaji maarufu nchini, Beatrice Holisi ‘Nina’. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1ORe6xr ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVeu5aZE1HtzwKO32A*J29Od6pn4tqsgVT8tSqQZ-4tcXhIyXCtrBO5BbIz18BBqvfTa6kRel0Kqjnj-VwmXxF7b/AIBU.jpg?width=650)
AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKXXoBBzJewILeB0j3TxB33hT6GZwV8vKT5x4rE*HboIW7JeFnfG8IBWcUyOzxoGol*CByAhOoCByL87EOyVb7Qv/BACKJmooo001.jpg)
AIBU KUBWA! MUUZA GENGE ACHEZEA KICHAPO KWA KUNASWA NA MKE WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScunBg-n6UimWiGofbrzs7JsOujMuxo0fBIskDOpMbxQxg9Aq6T-vPiAMNme1CuUHi9bgwifqi9Mmc4iqhNXetzS/aibu.jpg)
KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
CCM iomba radhi aibu ya Makonda
KATIBU wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda amefanya tukio la iabu na fedheha kwake na chama chake la kumfanyia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4wc48-rReGE76qrFHy5qUTEiGom15oc5ZZ9pFFg47HZk3-xqkgUZdNa5gVhpsKiY5F*IYhuXJkmXF0hEKj7u51/12.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El9ADcWbV0*s9hceHmhBQ3*xYquB-vEut1oYBy50QwzngRzjhALEQ*0IkLK3eVEZaL7Wl8a7tq8BsspzFwxMnDF5/f.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIkwe79Xf*bMKoF4R9FbewQXeyINX6RzAGzhSuWOwPYDD5JgyVpjIVKOxRsXcX26sWJiOYVK9626gtBKHQVuzb2/mkewamtusumu.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Mke wa Dk. Slaa Amwaga mboga
AZIZA MASOUD NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KWA vijana wa mjini, wanaweza kusema kwamba alichofanya Dk. Willibrod Slaa juzi kwa kuachana na siasa na kurusha tuhuma kwa chama chake, ni sawa na kumwaga ugali, na majibu aliyotoa mkewe wa kwanza, Rose Kamili jana, ni sawa na kumwaga mboga.
Mke huyo aliyedai kutelekezwa na Dk. Slaa mwaka 2010 pamoja na watoto, alisema kiongozi huyo ni mwongo na ni dhaifu kwa wanawake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Rose alisema...