Mke wa Dk. Slaa Amwaga mboga
AZIZA MASOUD NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KWA vijana wa mjini, wanaweza kusema kwamba alichofanya Dk. Willibrod Slaa juzi kwa kuachana na siasa na kurusha tuhuma kwa chama chake, ni sawa na kumwaga ugali, na majibu aliyotoa mkewe wa kwanza, Rose Kamili jana, ni sawa na kumwaga mboga.
Mke huyo aliyedai kutelekezwa na Dk. Slaa mwaka 2010 pamoja na watoto, alisema kiongozi huyo ni mwongo na ni dhaifu kwa wanawake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Rose alisema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Ngassa amwaga mboga
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO3AHyf5gtwGL5zmQo7lz*wMzaJe5dErVKCqqXFQdpVQNGyAXElQfy37ld1QKghcOYVa26d03rlFinap2JaoYwKG/MkewaM2.jpg?width=650)
AIBU! MKE WA MTU AMWAGA RADHI
10 years ago
VijimamboMLINZI WA DK SLAA ALIPUKA.AMWAGA UGALI,AFICHUA MADUDU
10 years ago
Vijimambo30 Nov
MKE WA KIPINGU AMWAGA MISAADA KWA SHULE ZA MONTESORY, ULONGONI B
Misaada hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa kampuni ya Zugo Gold Mining ambaye pia ni Mwakilishi wa Wanawake na Maendeleo ya Vijana na Ajira kwa Wachezaji wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Zuwena Idd Kipingu, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya shule hizo mwishoni mwa wiki.
Akizungumza...
11 years ago
MichuziWakulima Mbeya Waneemeka na Elimu ya uzalishaji wa Mboga Mboga kutoka TAHA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8T5IxAuJsJQ/U70FnqaKnsI/AAAAAAAFzx4/nG73G-MozCc/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mh. Chiza akagua bustani ya mboga mboga katika banda la Magereza,Sabasaba
![](http://3.bp.blogspot.com/-8T5IxAuJsJQ/U70FnqaKnsI/AAAAAAAFzx4/nG73G-MozCc/s1600/unnamed+(6).jpg)
11 years ago
GPLWAKULIMA MBEYA WANEEMEKA NA ELIMU YA UZALISHAJI WA MBOGA MBOGA KUTOKA TAHA
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Lushoto kukipa nguvu kilimo cha mboga mboga