CCM iomba radhi aibu ya Makonda
KATIBU wa Uhamasishaji na Chipukizi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Paul Makonda amefanya tukio la iabu na fedheha kwake na chama chake la kumfanyia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO3AHyf5gtwGL5zmQo7lz*wMzaJe5dErVKCqqXFQdpVQNGyAXElQfy37ld1QKghcOYVa26d03rlFinap2JaoYwKG/MkewaM2.jpg?width=650)
AIBU! MKE WA MTU AMWAGA RADHI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t8rxBIPg4v4a7OiLvxA9JI*Je-2iIhJq3Qo8XKBUOcCzLuLggerteATJAW1Si8pxERYrXpvKPqLq7txOnCvcSvd/MGEJA.jpg)
MZEE MALECELA, PAUL MAKONDA WAOMBE RADHI KWA VIONGOZI WA DINI - KHAMIS MGEJA
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
CCM yamwomba radhi mwandishi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara kimeomba radhi kwa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Mara (MRPC) kutokana na kitendo kinachodaiwa kufanywa na wafuasi wa chama hicho, kwa kumpiga mwandishi...
11 years ago
Mwananchi13 Feb
CCM waomba radhi kumshambulia mwandishi
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwenyekiti CCM amtaka DC amwombe radhi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WdaJ4iTGcog/XtoGbOZyVOI/AAAAAAACMSU/L-PFss0IuHobtLmboSemKai5OO--fnl2ACLcBGAsYHQ/s72-c/kin.jpg)
KINANA ONYESHA UKOMAVU KATIKA SIASA, AMUOMBA RADHI MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-WdaJ4iTGcog/XtoGbOZyVOI/AAAAAAACMSU/L-PFss0IuHobtLmboSemKai5OO--fnl2ACLcBGAsYHQ/s400/kin.jpg)
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana (pichani) amemuomba radhi Mwenyekiti wa CCM Rais Dk.John Magufuli kwa kauli mbalimbali alizotoa hadi Chama kulazimika kumpa adhabu hivi karibuni.
Kinana alitoa tamko la kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli, alipozungumza na Waandishi wa habari baada ya kukutanha na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mkoa huo Zelothe Stephen na kufanya mazungumzo naye katika ofisi za CCM mkoa wa Arusha leo.
Katika...
9 years ago
Dewji Blog06 Sep
Aliyekuwa kada wa Chadema Ikungi, Singida, Hamisi Mazonge, arejea CCM na kukiomba radhi
Aliyekuwa katibu mwenezi CHADEMA kata ya Ikungi mkoani Singida, Hamisi Yahaya Mazonge, akitangaza uamuzi wake wa kuhama CHADEMA na kurejea CCM, kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi nafasi ya ubunge na udiwani jimbo la Singida mashariki.Mazonge amedai kwamba amehama CHADEMA baada ya kubaini chama hicho hakina sera yoyote ya kuwaletea wananchi maendeleo.(Picha naNathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
ALIYEKUWA Katibu mwenezi wa CHADEMA Kata ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoani...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...