Rinda lauzwa shilingi milioni 12 Marekani
Rinda la Vivien Leigh aliyeigiza kama Scarlet O'Hara katika filamu ya 'Gone With the Wind' limeuzwa kwa shilingi millioni 12.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani Shilingi inahujumiwa na Mabenki?
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani
Shilingi inahujumiwa na Mabenki? – Zitto Kabwe[1]
Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu. Nilieleza “Shilingi kuporomoka dhidi ya dola na kuvuka 1$/2000TS kunasababishwa na sababu kadhaa 1) Woga wa uchaguzi na hivyo Dola nyingi kutoingia nchini (FDI etc) kusikilizia Serikali ijayo...
10 years ago
CloudsFM02 Apr
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVeu5aZE1HtzwKO32A*J29Od6pn4tqsgVT8tSqQZ-4tcXhIyXCtrBO5BbIz18BBqvfTa6kRel0Kqjnj-VwmXxF7b/AIBU.jpg?width=650)
AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA
9 years ago
Bongo517 Oct
Kundi la One Direction huingiza shilingi milioni 62 kila siku
9 years ago
Bongo516 Oct
Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40
9 years ago
Bongo527 Nov
Matonya: Vaileti iliingiza shilingi milioni 150 fasta
Staa wa muziki wa Bongo Flava, Seif ‘Matonya’ Shaaban, ameuelezea wimbo wake wa kitambo ‘Vaileti’ kuwa ndio wimbo uliompatia pesa nyingi na kwa haraka.
Akizungumza katika kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Matonya alisema wiki kadhaa tu baada ya kuachia ngoma hiyo, alijikuta akiwa na pesa nyingi kwenye akaunti yake.
“Vaileti was crazy song kiukweli,” alisema Matonya. “Ulikuwa wimbo mkubwa sana, nilipokea simu nyingi kutoka Marekani na kwingineko, yaani ulipagawisha watu kiukweli. Sasa...
11 years ago
Habarileo18 Apr
Chama cha Msalaba Mwekundu chapokea Shilingi milioni 20.7
CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimepokea msaada wa Sh milioni 20.7 na vyakula mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 4.
9 years ago
Bongo530 Dec
Bendi ya Q Chief ‘QS International Band’ imegharimu shilingi milioni 40
![Q Chief](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Q-Chief-300x194.jpg)
Q Chief amekamilisha maandalizi ya bendi yake mpya ya muziki iitwayo ‘QS International Band’ aliyodai imegharimu zaidi ya shilingi milioni 40.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo Mkungu wa Ndizi akiwa na TID hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa huo ndio utakuwa mwisho wake wa kufanya show kwa kutumia play back.
“Sitofanya show yoyote bila bendi yangu,” alisema. “Hii itanitoa kutoka daraja la kawaida kwenda daraja lingine kubwa kwa sababu muziki umebadilika kila msanii anataka kuwa na bendi....
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
SUA kutumia shilingi milioni 65 kushawishi matumizi ya Mtama
Mhadhiri wa chuo ikuu cha kilimo Sokoine, Profesa Joseph Phillip Hella, akitoa mada yake ya uongezaji wa uzalishaji wa Mtama katika wilaya tisa zinazokabiliwa na ukame hapa nchini.
Na Nathaniel Limu, Singida
CHUO kikuu cha kilimo cha Sokoine Morogoro, kinatarajia kutumia zaidi ya shilingi 65 milioni kugharamia mradi wa kuongeza matumizi ya zao la Mtama,ili kukuza soko la zao hilo linalostahimili ukame.
Imedaiwa kwamba soko la Mtama likikua kutokana na kuongezeka kwa matumizi, wakulima...