SUA kutumia shilingi milioni 65 kushawishi matumizi ya Mtama
Mhadhiri wa chuo ikuu cha kilimo Sokoine, Profesa Joseph Phillip Hella, akitoa mada yake ya uongezaji wa uzalishaji wa Mtama katika wilaya tisa zinazokabiliwa na ukame hapa nchini.
Na Nathaniel Limu, Singida
CHUO kikuu cha kilimo cha Sokoine Morogoro, kinatarajia kutumia zaidi ya shilingi 65 milioni kugharamia mradi wa kuongeza matumizi ya zao la Mtama,ili kukuza soko la zao hilo linalostahimili ukame.
Imedaiwa kwamba soko la Mtama likikua kutokana na kuongezeka kwa matumizi, wakulima...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Kanisa kutumia zaidi ya shilingi 214 milioni kujenga shule
Waziri wa Mali asili na Utaliii na Mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,Lazaro Nyalandu.
Na Nathaniel Limu, Singida
KANISA jipya la Miracle Assemblies of God Ministry (MAGM) mkoani Singida linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 214.1 milioni kugharamia ujenzi wa shule ya awali ya bweni.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Magreth Ndwete wakati akisoma risala fupi ya kanisa hilo kwenye hafla ya kusimikwa kwa askofu wa kwanza wa kanisa hilo John Sanongo Tesha (58), Mgeni rasmi katika hafla...
10 years ago
CloudsFM02 Apr
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
Rinda lauzwa shilingi milioni 12 Marekani
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/mdwNzu4ujBk/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVeu5aZE1HtzwKO32A*J29Od6pn4tqsgVT8tSqQZ-4tcXhIyXCtrBO5BbIz18BBqvfTa6kRel0Kqjnj-VwmXxF7b/AIBU.jpg?width=650)
AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA
9 years ago
Bongo517 Oct
Kundi la One Direction huingiza shilingi milioni 62 kila siku
9 years ago
Bongo516 Oct
Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJL3ED0weh4GKniy58gmXp*Rt13JT*LhyIyxxQ1gDDjPQKHWl*K3T-QLXaS5H5134752IBlsTKow9szAi-DktGif/001.ZUWENA.jpg?width=650)
MSUSI ALIYEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10/= AKABIDHIWA KITITA CHAKE
11 years ago
Habarileo18 Apr
Chama cha Msalaba Mwekundu chapokea Shilingi milioni 20.7
CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimepokea msaada wa Sh milioni 20.7 na vyakula mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 4.