Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUA kutumia shilingi milioni 65 kushawishi matumizi ya Mtama

DSC00963

Mhadhiri wa chuo ikuu cha kilimo Sokoine, Profesa Joseph Phillip Hella, akitoa mada yake ya uongezaji wa uzalishaji wa Mtama katika wilaya tisa zinazokabiliwa na ukame hapa nchini.

Na Nathaniel Limu, Singida

CHUO kikuu cha kilimo cha Sokoine Morogoro, kinatarajia kutumia zaidi ya shilingi 65 milioni kugharamia mradi wa kuongeza matumizi ya zao la Mtama,ili kukuza soko la zao hilo linalostahimili ukame.

Imedaiwa kwamba soko la Mtama likikua kutokana na kuongezeka kwa matumizi, wakulima...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Kanisa kutumia zaidi ya shilingi 214 milioni kujenga shule

b03wg1g6_640_360

 Waziri wa Mali asili na Utaliii na Mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,Lazaro Nyalandu.

Na Nathaniel Limu, Singida

KANISA jipya la Miracle Assemblies of God Ministry (MAGM) mkoani Singida linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 214.1 milioni kugharamia ujenzi wa shule ya awali ya bweni.

Hayo yalisemwa hivi karibuni na Magreth Ndwete wakati akisoma risala fupi ya kanisa hilo kwenye hafla ya kusimikwa kwa askofu wa kwanza wa kanisa hilo John Sanongo Tesha (58), Mgeni rasmi katika hafla...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rinda lauzwa shilingi milioni 12 Marekani

Rinda la Vivien Leigh aliyeigiza kama Scarlet O'Hara katika filamu ya 'Gone With the Wind' limeuzwa kwa shilingi millioni 12.

 

11 years ago

GPL

AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA

Stori: Issa Mnally na Richard Bukos
MWANAMKE aliyetajwa kwa jina moja la Winfrida ambaye ni mke wa mtu amekwaa aibu ya karne baada ya kudaiwa kutaka kuuza kiwanja ambacho si mali yake na kujipatia fedha isivyo kihalali kutoka kwa mtu aitwaye Stanlaus Hajj ‘Stan’, Ijumaa lina mkanda kamili. Winfrida ambaye ni mke wa mtu akiwa mikononi mwa polisi baada ya kunaswa. Awali ilidaiwa kuwa mwanamke huyo, alichukua Sh....

 

9 years ago

Bongo5

Kundi la One Direction huingiza shilingi milioni 62 kila siku

Kundi maarufu la Uingereza la One Direction, huingiza pauni 19,000 kila siku ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 62. Waimbaji hao waliopata mafanikio baada ya kuwa chini ya usimamizi wa Simon Cowell kupitia kipindi cha The X Factor mwaka 2010, huingiza kiasi hicho cha fedha kufuatia taarifa zao za fedha zilizochapishwa na Companies House. One […]

 

9 years ago

Bongo5

Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40

Vanessa Mdee ana-make headlines hivi sasa kutokana na ushindi wake wa tuzo ya AFRIMMA 2015 ‘Best Female East Africa’, pamoja na video yake mpya ya ‘Never Ever’ ambayo ilitambulishwa rasmi wiki iliyopita exclusively na Trace Tv ya Ufaransa kabla ya kusambazwa kwenye vituo vingine vya nyumbani. Kwa mujibu wa ukurasa wa Instagram wa Clouds Fm […]

 

10 years ago

GPL

MSUSI ALIYEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10/= AKABIDHIWA KITITA CHAKE

Milionea kupitia Promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Ibrahim Ibrahim (kushoto) akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 10/- Zuwena Rajabu(kulia)aliyeibuka mshindi wa kitita hicho kupitia Promosheni hiyo wiki hii.Anayeshuhudia katikati ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu.Hafla hiyo ilifanyika Tabata Segerea  jijini Dar es Salaam,Ili  mteja kujua kama  ameshinda...

 

11 years ago

Habarileo

Chama cha Msalaba Mwekundu chapokea Shilingi milioni 20.7

CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimepokea msaada wa Sh milioni 20.7 na vyakula mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 4.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani