BoT KURASIMISHA MATUMIZI YA KWACHA YA ZAMBIA NA SHILINGI YA TANZANIA KWENYE MPAKA WA TUNDUMA/NAKONDE
![](https://img.youtube.com/vi/mdwNzu4ujBk/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xFZonFMw8CU/XlksBbZkRtI/AAAAAAALf7s/eSKvUu4yT4QN7GOtFt3kHnmeTk2ldKfLgCLcBGAsYHQ/s72-c/4C1A4095AA-1024x682.jpg)
KWACHA NA SHILINGI ZARASIMISHWA MPAKANI TUNDUMA NA NAKONDE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xFZonFMw8CU/XlksBbZkRtI/AAAAAAALf7s/eSKvUu4yT4QN7GOtFt3kHnmeTk2ldKfLgCLcBGAsYHQ/s640/4C1A4095AA-1024x682.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Juma Irando (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Nakonde, Mhe. Field Simwinga (kulia) wakipongezana baada ya Uzinduzi Wa Utekelezaji Wa Makubaliano Ya Mpango Wa Urasimishaji Wa Matumizi Ya Kwacha Na Shilingi. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Tawi la Benki Kuu ya Tanzania Mbeya, Bw. Ibrahim Malogoi...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BRgegFYoxxQ/XrpCsEiIJHI/AAAAAAALp2Y/3EDtkw9fBJ8yLqf1F41az1WLHWqB44PGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
BIASHARA KUENDELEA TUNDUMA LICHA YA ZAMBIA KUFUNGA MPAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRgegFYoxxQ/XrpCsEiIJHI/AAAAAAALp2Y/3EDtkw9fBJ8yLqf1F41az1WLHWqB44PGQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza na Wananchi katika eneo la Tunduma mapema leo ambapo amewataka kuendelea na shughuli za kiuchumi licha ya Zambia Kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4..jpg)
Wafanyabiashara wa Tunduma wakiendelea na shughuli mbalimbali za Kiuchumi kama serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo waelekeza licha ya Zambia kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.
******************************
Wafanyabiashara wametakiwa...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Faida za vikao vya Tanzania, Zambia kuhusu Tunduma zionekane
Maofisa wapatao 100 wa Tanzania na Zambia walikutana jijini Mbeya wiki iliyopita, kujadili utekelezaji wa mikakati ya kuboresha ufanisi katika vituo vya Tunduma na Nakonde kwa manufaa ya uchumi wa nchi husika.
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Mbeya City yawafunza soka Nakonde Kombaini Zambia
TIMU ya soka ya Mbeya City inayojiandaa na Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Septemba 20, juzi iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kombaini ya Mjini Nakonde, Zambia katika...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Xpj4ZIxcq88/default.jpg)
MCHUMI WA BOT AELEZA SABABU ZA KUSHUKA NA KUPANDA GHAFLA KWA THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA
Mchumi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Lusajo Mwankemwa akielezea sababu za kushuka na kupanda ghafla kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania katika banda la BOT viwanja vya SabaSaba jijjini Dar es salaam Juni 30, 2015
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YQXsJw9_EpU/Xrw4xdrdyzI/AAAAAAAEHAA/T5C5NcJFbi4OyksNRJPuSoHzRXIqbt7JgCLcBGAsYHQ/s72-c/kabudi.jpg)
WAZIRI PROFESA KABUDI ASOMA BUNGENI BARUA YA ZAMBIA INAYOELEZEA KUTOFUNGA MPAKA WAKE NA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YQXsJw9_EpU/Xrw4xdrdyzI/AAAAAAAEHAA/T5C5NcJFbi4OyksNRJPuSoHzRXIqbt7JgCLcBGAsYHQ/s400/kabudi.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ameweka hadharani barua ya Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia inayoeleza kwamba mipaka baina ya nchi hizo mbili haijafungwa.
Akizungumza leo Mei 13,mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma , Profesa Kabudi ametumia nafasi hiyo kueleza kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka na Tanzania.
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kwa muda kuanzia Jumatatu
Serikali ya Zambia imeamrisha kufungwa kwa mpake wake na Tanzania kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi vya corona kuanzia kesho Jumatatu tarehe 11 mwezi Mei 2020.
5 years ago
MichuziWASAFIRI WATAKAOPITA MPAKA WA TUNDUMA KUWEKWA KARANTINI SIKU 14
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Songwe imeanza utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kuwataka wasafiri waliotoka katika nchi zenye maambukizi ya Virusi vya Corona kukaa karantini kwa muda wa siku 14 kwa gharama zao.
Mapema leo wajumbe wa Kamati hiyo wametembelea eneo la mpaka wa Tanzania na Zambia uliopo eneo la Tunduma Mkoani Songwe ili kutathmini utayari wa kuanza zoezi la kuwaweka eneo tengefu yaani karantini wasafiri wote...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania