Faida za vikao vya Tanzania, Zambia kuhusu Tunduma zionekane
Maofisa wapatao 100 wa Tanzania na Zambia walikutana jijini Mbeya wiki iliyopita, kujadili utekelezaji wa mikakati ya kuboresha ufanisi katika vituo vya Tunduma na Nakonde kwa manufaa ya uchumi wa nchi husika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/mdwNzu4ujBk/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 — 23 JANUARI 2015
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QI37sdZWn1I/VK6fy7eNRXI/AAAAAAAG8EI/rCxtoXB3YJg/s1600/New%2BPicture.png)
BUNGE LA TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA KUPITIA VYOMBO HABARI KUHUSU VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE KUANZA TAREHE 13 – 23 JANUARI 2015
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote, wadau na umma kwa ujumla kuwa Kamati za Kudumu za Bunge zitaanza vikao vyake tarehe 13 hadi 23 Januari 2015. Vikao hivyo vitakavyoutangulia mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge la Kumi vitajadili na kuchambua pamoja na mambo mengine Miswada mbalimbali ya...
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Taarifa kwa umma kupitia vyombo habari kuhusu vikao vya kamati za Bunge kuanza tarehe 13 — 23 Januari 2015
Mwito kwa kamati 2015.docx by moblog
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ZAu-WfB19s/XmJXb_qn8JI/AAAAAAALhiM/0Wz3TjlspnUw51FuzGpz6k8V_vQIr7EsACLcBGAsYHQ/s72-c/PRESS%2BRELASE%2BKAMATI.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BRgegFYoxxQ/XrpCsEiIJHI/AAAAAAALp2Y/3EDtkw9fBJ8yLqf1F41az1WLHWqB44PGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
BIASHARA KUENDELEA TUNDUMA LICHA YA ZAMBIA KUFUNGA MPAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRgegFYoxxQ/XrpCsEiIJHI/AAAAAAALp2Y/3EDtkw9fBJ8yLqf1F41az1WLHWqB44PGQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza na Wananchi katika eneo la Tunduma mapema leo ambapo amewataka kuendelea na shughuli za kiuchumi licha ya Zambia Kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4..jpg)
Wafanyabiashara wa Tunduma wakiendelea na shughuli mbalimbali za Kiuchumi kama serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo waelekeza licha ya Zambia kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.
******************************
Wafanyabiashara wametakiwa...
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
9 years ago
GPL05 Oct
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kmZN0XGE77s/Xk4QSf447TI/AAAAAAALeZ8/X2irazU43XApi9PlfK9Xa3uhSOdSoH3PACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kwa muda kuanzia Jumatatu
Serikali ya Zambia imeamrisha kufungwa kwa mpake wake na Tanzania kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi vya corona kuanzia kesho Jumatatu tarehe 11 mwezi Mei 2020.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania