BIASHARA KUENDELEA TUNDUMA LICHA YA ZAMBIA KUFUNGA MPAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRgegFYoxxQ/XrpCsEiIJHI/AAAAAAALp2Y/3EDtkw9fBJ8yLqf1F41az1WLHWqB44PGQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza na Wananchi katika eneo la Tunduma mapema leo ambapo amewataka kuendelea na shughuli za kiuchumi licha ya Zambia Kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.
Wafanyabiashara wa Tunduma wakiendelea na shughuli mbalimbali za Kiuchumi kama serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo waelekeza licha ya Zambia kufunga Mpaka wa Tanzania na Zambia eneo la Nakonde.
******************************
Wafanyabiashara wametakiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/mdwNzu4ujBk/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kwa muda kuanzia Jumatatu
5 years ago
MichuziWASAFIRI WATAKAOPITA MPAKA WA TUNDUMA KUWEKWA KARANTINI SIKU 14
Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Songwe imeanza utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kuwataka wasafiri waliotoka katika nchi zenye maambukizi ya Virusi vya Corona kukaa karantini kwa muda wa siku 14 kwa gharama zao.
Mapema leo wajumbe wa Kamati hiyo wametembelea eneo la mpaka wa Tanzania na Zambia uliopo eneo la Tunduma Mkoani Songwe ili kutathmini utayari wa kuanza zoezi la kuwaweka eneo tengefu yaani karantini wasafiri wote...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Faida za vikao vya Tanzania, Zambia kuhusu Tunduma zionekane
11 years ago
BBCSwahili30 Mar
Ebola yafanya Senegal kufunga mpaka
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Virusi vya corona: Maharusi wamekamatwa Afrika Kusini kwa kufunga ndoa licha ya amri ya kutotoka nje
9 years ago
Habarileo19 Dec
TMA: El-Nino kuendelea mpaka Aprili mwakani
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), imeendelea kutoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi mikoa ya Kanda za Ziwa, Kusini na Pwani, kwamba mvua za Vuli zitakazofikia ukubwa wa El-Nino, zinatarajiwa kuendelea kunyesha mpaka Aprili mwakani.
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Serikali ya Tanzania yajibu hatua ya Kenya kufunga mpaka wake na taifa hilo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCi*1NNEfTtZAHmiX*CWfFhYOUYvSMebgEemIaiVtU-B7pHR6DIcFEBsQTbahwxxczwAN*UsjrYHM0BxhPUyDRxg/apandamnara2.jpg)
KIOJA CHA KUFUNGA MWAKA: JAMAA APANDA JUU YA MNARA, AKATAA KUSHUKA MPAKA AONANE NA RAIS KIKWETE