KWACHA NA SHILINGI ZARASIMISHWA MPAKANI TUNDUMA NA NAKONDE
![](https://1.bp.blogspot.com/-xFZonFMw8CU/XlksBbZkRtI/AAAAAAALf7s/eSKvUu4yT4QN7GOtFt3kHnmeTk2ldKfLgCLcBGAsYHQ/s72-c/4C1A4095AA-1024x682.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Juma Irando (kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Nakonde, Mhe. Field Simwinga (kulia) wakipongezana baada ya Uzinduzi Wa Utekelezaji Wa Makubaliano Ya Mpango Wa Urasimishaji Wa Matumizi Ya Kwacha Na Shilingi. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Tawi la Benki Kuu ya Tanzania Mbeya, Bw. Ibrahim Malogoi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/mdwNzu4ujBk/default.jpg)
5 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-usPECnflLmA/VBIE1as0jQI/AAAAAAAGjBE/rxDMkdTYiPg/s72-c/altAts0gniS0XylQNQ95-oCFPzTLcIJTlj0iMLpNH_QfnoH%5B1%5D.jpg)
tantrade yaipigia jeki JBC mpakani tunduma
![](http://1.bp.blogspot.com/-usPECnflLmA/VBIE1as0jQI/AAAAAAAGjBE/rxDMkdTYiPg/s1600/altAts0gniS0XylQNQ95-oCFPzTLcIJTlj0iMLpNH_QfnoH%5B1%5D.jpg)
Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara ya Ndani, Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), akikabidhi Kompyuta, Vifaa vya Ofisi na Samani kwa Bw.Raymond Mwanisawa, Mwenyekiti wa Kamati ya Ushirikiano Mpakani (JBC) Tunduma ambaye pia ni Mkuu wa Kituo cha Tunduma cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Vifaa hivi ni kwa ajili ya kuimarisha ufanisi wa kupitisha mizigo na kupata taarifa za biashara Mipakani. Tukio hili lilifanyika tarehe 10 September 2014...
10 years ago
Zambia Daily Mail20 Mar
Nakonde border opens
Zambia Daily Mail
Zambia Daily Mail
OPERATIONS at Nakonde border have resumed following Tuesday's political clashes that erupted in the neighbouring town of Tunduma in Tanzania where police fought running battles with residents over a disputed piece of land. Muchinga Province ...
Nakonde border fully opens nowLusaka Times
Nakonde Border Opens PartiallyAllAfrica.com
all 4
11 years ago
Zambia Reports20 Jan
Nakonde Residents Kill 2 Robbers
Zambia Reports
Zambia Reports
zambia_police Residents in Nakonde District have killed two suspected armed robbers who had crossed over from Tanzania after being pursued. The robbers who were three had broken into a shop at gunpoint and got away with a box they thought contained ...
Mob justice beat two robbers to deathLusaka Times
all 2
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Kwacha: Serikali tatu si lelemama
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Mbeya City yawafunza soka Nakonde Kombaini Zambia
TIMU ya soka ya Mbeya City inayojiandaa na Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Septemba 20, juzi iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kombaini ya Mjini Nakonde, Zambia katika...
5 years ago
The Citizen Daily28 Feb
Cross-boarder use of Kwacha, shilling to boost trade at border
5 years ago
Reuters05 Mar
WEEKAHEAD-AFRICA-FX-Kenyan shilling seen pressured while Zambian Kwacha could firm