Mbeya City yawafunza soka Nakonde Kombaini Zambia
TIMU ya soka ya Mbeya City inayojiandaa na Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Septemba 20, juzi iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kombaini ya Mjini Nakonde, Zambia katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
U-15 YAICHAPA 3-0, KOMBAINI YA MBEYA

Katika mchezo huo uliohudhuriwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Emil Malinzi dakika 45 za kwanza zilimalizika U15 wakiwa mbele kwa bao 1-0.
Bao hilo lilifungwa na mshambuliaji Timoth Maziku dakika ya 17 kwa guu la kulia akimalizia krosi ya Nahodha Issa Abdi.

5 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Dar City kukipiga na Kombaini ya Vikawe, Kibaha Mkoani Pwani

Kwa mujibu wa mratibu wa mchezo huo, Athuman Tippo ‘Zizzou’, mchezo umeandaliwa maalum kwa ajili ya kuhamasisha michezo mkoani Pwani.
Tippo alisema kikosi cha Dar City kitajumuisha pia baadhi ya Waandishi wa Habari za Michezo na kubainisha kuwa mechi hiyo itachezwa kesho...
11 years ago
GPL
AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA
Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…
11 years ago
Michuzi11 Feb
MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya
10 years ago
MichuziMBEYA CITY YABUGIZA JKT RUVU GOLI 3-0 MJINI MBEYA
11 years ago
GPL
WAKAZI WA MBEYA WACHANGAMKIA JEZI ZA MBEYA CITY
Wakazi wa Mbeya wakichangamkia jezi za Mbeya City. Mkazi wa Mbeya akiwa ndani ya jezi Hali ya jiji la Mbeya leo…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania