U-15 YAICHAPA 3-0, KOMBAINI YA MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0d_gTJfeQ6A/VZBYuN7EW6I/AAAAAAAHlSo/A91653-BzCo/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
TIMU ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 15, jioni ya leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kombaini ya vijana chini ya umri wa 17 ya mkoa wa Mbeya kwenye Uwanja wa Sokoine mjini hapa.
Katika mchezo huo uliohudhuriwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Emil Malinzi dakika 45 za kwanza zilimalizika U15 wakiwa mbele kwa bao 1-0.
Bao hilo lilifungwa na mshambuliaji Timoth Maziku dakika ya 17 kwa guu la kulia akimalizia krosi ya Nahodha Issa Abdi.Baada ya bao hilo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Mbeya City yawafunza soka Nakonde Kombaini Zambia
TIMU ya soka ya Mbeya City inayojiandaa na Ligi Kuu Tanzania bara itakayoanza Septemba 20, juzi iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kombaini ya Mjini Nakonde, Zambia katika...
10 years ago
VijimamboYANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3-1
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Yanga kumbakumba, yaichapa Mbeya City 3-1
11 years ago
Michuzi15 Feb
SIMBA NA MBEYA CITY DROO 1-1 , LIPULI FC YAICHAPA POLISI MOROGORO 3-1
![](https://3.bp.blogspot.com/-2qrh1ceP8YA/Uv8x_1mdn6I/AAAAAAAAg0Q/TkLW9U36R2Y/s1600/IMG-20140215-WA0004.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s72-c/MMGL0007.jpg)
YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s1600/MMGL0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nafz-CBBzlI/VSp8pguCB9I/AAAAAAAHQq0/zC6U5Se41Cg/s1600/MMGL0157.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfBusODcBn0/VSp9UZyQ-iI/AAAAAAAHQrA/mY1cGA8CE3k/s1600/MMGL0186.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-oveb8xagyJE/VaKW-iZRdRI/AAAAAAABda0/6724UIZsUiQ/s72-c/Donal%2BNgoma%2Bakichuana%2Bna%2Bbeki%2Bwa%2Btimu%2Bya%2BKombaini%2Bya%2BPolisi%2BSalmin%2BKiss.jpg)
YANGA YAIPIGA POLISI KOMBAINI 3-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-oveb8xagyJE/VaKW-iZRdRI/AAAAAAABda0/6724UIZsUiQ/s640/Donal%2BNgoma%2Bakichuana%2Bna%2Bbeki%2Bwa%2Btimu%2Bya%2BKombaini%2Bya%2BPolisi%2BSalmin%2BKiss.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_nzqxmPenlw/VaKeTZfwlzI/AAAAAAABdcc/2veWyjUeovI/s640/Amis%2BTabwe%2Bakiruka%2Bjuu%2Bkatika%2Bharakati%2Bza%2Bkufunga.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IxNS45hDFCE/VaKb6zirMHI/AAAAAAABdcA/nJbrK-mhW08/s640/Golikipa%2Bwa%2BPolisi%2BKombaini%2Bakiruka%2Bjuu%2Bkuokoa%2Bhatari%2Blangoni%2Bmwake.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hzk5bnKhqKc/VTvdfmS6HTI/AAAAAAAHTQ0/veHQJ4RgF-g/s72-c/5909_629985427014340_1747130641_n.jpg)
Dar City kukipiga na Kombaini ya Vikawe, Kibaha Mkoani Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-hzk5bnKhqKc/VTvdfmS6HTI/AAAAAAAHTQ0/veHQJ4RgF-g/s1600/5909_629985427014340_1747130641_n.jpg)
Kwa mujibu wa mratibu wa mchezo huo, Athuman Tippo ‘Zizzou’, mchezo umeandaliwa maalum kwa ajili ya kuhamasisha michezo mkoani Pwani.
Tippo alisema kikosi cha Dar City kitajumuisha pia baadhi ya Waandishi wa Habari za Michezo na kubainisha kuwa mechi hiyo itachezwa kesho...
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Brazil yaichapa Ufaransa 3 - 1