WAZIRI PROFESA KABUDI ASOMA BUNGENI BARUA YA ZAMBIA INAYOELEZEA KUTOFUNGA MPAKA WAKE NA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-YQXsJw9_EpU/Xrw4xdrdyzI/AAAAAAAEHAA/T5C5NcJFbi4OyksNRJPuSoHzRXIqbt7JgCLcBGAsYHQ/s72-c/kabudi.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ameweka hadharani barua ya Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia inayoeleza kwamba mipaka baina ya nchi hizo mbili haijafungwa.
Akizungumza leo Mei 13,mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma , Profesa Kabudi ametumia nafasi hiyo kueleza kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka na Tanzania.
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/whaw-KAIyDI/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Zambia kufunga mpaka wake na Tanzania kwa muda kuanzia Jumatatu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s72-c/A-16-2048x1365.jpg)
Waziri Kabudi afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Balozi Wang Ke. Mazungumzo yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na China ambapo nchi hizi zinaelekea kuadhimisha mika 55 tangu kusainiwa mktaba wa urafiki
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s640/A-16-2048x1365.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/mdwNzu4ujBk/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Profesa Kabudi awasha moto Katiba Mpya
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Profesa Sospeter Muhongo asaini mkataba wa mradi wa kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya
Mawaziri wanaoshughulikia Nishati kutoka nchi za Zambia, Tanzania na Kenya wakisaini Mkataba wa Makubaliano kuonesha dhamira ya Serikali ya nchi hizo kujenga miundombinu ya pamoja ya kusafirisha umeme na kufanya biashara ya kuuziana umeme wa ziada baina ya nchi hizo.
Na Anitha Jonas, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo jana ametia saini Mkataba wa Mradi kujenga Miundombinu ya kuuziana umeme kati ya Zambia, Tanzania na Kenya (ZTK) katika Mkutano wa Kumi...
5 years ago
MichuziPROFESA KABUDI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA UN, UNHCR
Waziri Kabudi amewaeleza Bw. Milisic na Bw. Canhandula kuwa UN pamoja na UNHCR zimekuwa na mchango mkubwa kwa kuiunga mkono Serikali ya Jamhuri ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wxMH2VYl_48/XqxnC8yAMHI/AAAAAAALozI/Uwu15-cIXj4J7xqQhu3Z2hdYklT-5NpUQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
PROFESA KABUDI AMLILIA BALOZI DK.MAHIGA...AELEZA ALIVYOMFAHAMU TANGU MIAKA YA 1970, PIGO KWA NCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wxMH2VYl_48/XqxnC8yAMHI/AAAAAAALozI/Uwu15-cIXj4J7xqQhu3Z2hdYklT-5NpUQCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa John Kabudi amesema amepokea kwa masikitiko makubwa ,majonzi na mfadhahiko mkubwa taarifa za kufariki Dunia kwa Balozi Dk.Agustine Mahiga huku akieleza kuwa Tanzania imempoteza mwana halisi wa Tanzania na mzalendo aliyeitumikia nchi kwa moyo na akili zake zote.
Balozi Dk.Mahiga amefariki Dunia leo Mei 1, mwaka 2020 na kifo chake kimeishtua Mataifa mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa kwenye eneo...