PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI AUNGURUMA BUNGENI, ASEMA YUKO FITI

Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAZIRI PROFESA KABUDI ASOMA BUNGENI BARUA YA ZAMBIA INAYOELEZEA KUTOFUNGA MPAKA WAKE NA TANZANIA

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ameweka hadharani barua ya Waziri wa Mambo ya Nje nchini Zambia inayoeleza kwamba mipaka baina ya nchi hizo mbili haijafungwa.
Akizungumza leo Mei 13,mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma , Profesa Kabudi ametumia nafasi hiyo kueleza kwa kina kuwa Zambia haijafunga mpaka na Tanzania.
" Nataka niwaambie Zambia haijafunga mpaka na Tanzania, narudia tena Zambia haijafunga mpaka na Tanzania...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Palamagamba Kabudi: Maswali utetezi wa Tanzania kuhusu kutoshiriki mkutano wa EAC
Prof Palamagamba Kabudi anasema Tanzania iliarifiwa kuhusu mkutano huo uliofanyika kwa njia ya video, lakini anaonekana kudokeza kwamba taifa hilo halikualikwa.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Luis Suarez yuko fiti kuivaa England leo
Mshambuliaji wa Liverpool alikuwa nje katika mchezo wa Uruguay dhidi ya Costa Rica kwa ajili ya jeraha lake la goti, lakini anatarajiwa kuanza katika mchezo wa leo dhidi ya England.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Profesa Kabudi awasha moto Katiba Mpya
>Aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Palamagamba Kabudi amejibu baadhi ya hoja za watu wanaopendekeza muundo wa serikali mbili na kusema Serikali ya Zanzibar ndiyo iliyoanza kutaka serikali tatu mwaka 1984.â€
5 years ago
MichuziPROFESA KABUDI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA UN, UNHCR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amepokea hati za utambulisho kutoka kwa Mratibu Mkazi wa Shughuli za Umoja wa Mataifa (UN) Bw. Zlatan Milisic Pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw. Antonio Canhandula Jijini Dar es Salaam.
Waziri Kabudi amewaeleza Bw. Milisic na Bw. Canhandula kuwa UN pamoja na UNHCR zimekuwa na mchango mkubwa kwa kuiunga mkono Serikali ya Jamhuri ya...
Waziri Kabudi amewaeleza Bw. Milisic na Bw. Canhandula kuwa UN pamoja na UNHCR zimekuwa na mchango mkubwa kwa kuiunga mkono Serikali ya Jamhuri ya...
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Miliband asema yuko tayari kuongoza
Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza Ed Miliband amesema chama chake kitabadili namna nchi inavyoendeshwa
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mama Maria Nyerere asema yuko hai
''Niko salama na buheri wa afya''Hayo ni maneno ya Mama Maria Nyerere ,mjane wa rais wa kwanza wa taifa la Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Trump yuko buheri wa afya, daktari asema
Daktari wa mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amesema mfanyabiashara huyo mashuhuri yuko buheri wa afya na hana matatizo yoyote makubwa ya kiafya.
5 years ago
Michuzi
PROFESA KABUDI AMLILIA BALOZI DK.MAHIGA...AELEZA ALIVYOMFAHAMU TANGU MIAKA YA 1970, PIGO KWA NCHI

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa John Kabudi amesema amepokea kwa masikitiko makubwa ,majonzi na mfadhahiko mkubwa taarifa za kufariki Dunia kwa Balozi Dk.Agustine Mahiga huku akieleza kuwa Tanzania imempoteza mwana halisi wa Tanzania na mzalendo aliyeitumikia nchi kwa moyo na akili zake zote.
Balozi Dk.Mahiga amefariki Dunia leo Mei 1, mwaka 2020 na kifo chake kimeishtua Mataifa mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa kwenye eneo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
05-May-2025 in Tanzania