Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump yuko buheri wa afya, daktari asema

Daktari wa mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amesema mfanyabiashara huyo mashuhuri yuko buheri wa afya na hana matatizo yoyote makubwa ya kiafya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Daktari: Mbowe yuko salama

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kuugua ghafla akiwa kwenye maandaamano na kuwahishwa hospitali ya Taifa Muhimbili, imebainika kuwa hali hiyo imesababishwa na kufanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je, Trump yuko sahihi kuikosoa WHO?

Je, madai ya rais Donald Trump kuhusu Shirika la afya duniani kushindwa majukumu yake kukabiliana na corona yana tija?

 

9 years ago

Vijimambo

MKUU WA MAJESHI CDF JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE YU BUHERI WA AFYA NA YUPO NCHINI ITALIA KIKAZI

 Taarifa zinazosambaa kumhusu Mkuu wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Jenerali  Davis Mwamunyange zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii kwamba amekula chakula chenye sumu na amekimbizwa jijini Nairobi nchini Kenya kwa matibabu hazina ukweli wowote.Ni uzushi.
Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani...

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: MKUU WA MAJESHI JENERALI DAVIS MWAMUNYANGE YU BUHERI WA AFYA NA YUPO NCHINI ITALIA KIKAZI

 Taarifa zinazosambaa kumhusu Mkuu wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Jenerali  Davis Mwamunyange zilizosambaa kwenye mitandao ya jamii kwamba amekula chakula chenye sumu na amekimbizwa jijini Nairobi nchini Kenya kwa matibabu hazina ukweli wowote.Ni uzushi.
Kwa mujibu wa taarifa za familia ya Jenerali Mwamunyange pamoja na makao makuu ya jeshi ambazo Globu ya Jamii imezisaka na kuzipata, kiongozi huyu wa JWTZ hivi sasa yupo nchini Italia kwa ziara ya kikazi ya siku tisa kama anavyoonekana pichani...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je,Trump yuko mashakani kwa msimamo wake kuhusu ubaguzi wa rangi?

Je changamoto hizi za maandamano dhidi ya ubaguzi zina uwezekano wa kumfanya Trump kuwa na nafasi ndogo kuchaguliwa tena?

 

10 years ago

BBCSwahili

Miliband asema yuko tayari kuongoza

Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza Ed Miliband amesema chama chake kitabadili namna nchi inavyoendeshwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mama Maria Nyerere asema yuko hai

''Niko salama na buheri wa afya''Hayo ni maneno ya Mama Maria Nyerere ,mjane wa rais wa kwanza wa taifa la Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

 

10 years ago

StarTV

Miliband asema yuko tayari kumrithi David Cameron.

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour nchini Uingereza, Ed Miliband amesema chama cha Labour kitabadili namna nchi inavyoendeshwa na nani wa kuiendesha.”

Miliband amesema hayo wakati akizindua ilani ya uchaguzi ya chama hicho.

Amesema amepimwa kama kiongozi wa upinzani na yuko tayari kwa wadhifa huo, Bwana Miliband amesema chama cha Labour kitakuwa “chama cha mabadiliko na uwajibikaji”.

Amekataa “orodha ya mapendekezo”, yakihakikisha kuwa sera zote hazitahitaji ukopaji wa ziada.

Lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani