Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daktari: Mbowe yuko salama

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kuugua ghafla akiwa kwenye maandaamano na kuwahishwa hospitali ya Taifa Muhimbili, imebainika kuwa hali hiyo imesababishwa na kufanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Trump yuko buheri wa afya, daktari asema

Daktari wa mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amesema mfanyabiashara huyo mashuhuri yuko buheri wa afya na hana matatizo yoyote makubwa ya kiafya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mungu yuko kanisani

Uendapo kanisani, la kwanza magoti chini, Chini weka kwa imani, akurehemu Manani, Manani ya kanisani, kusamehe waumini, Waumini muamini,  Mungu yuko kanisani.  

 

10 years ago

Mwananchi

Job Ndugai yuko wapi?

>Wananchi mbalimbali wamekuwa wakiuliza alipo Naibu Spika Job Ndugai, ambaye tangu kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Muungano hajaongoza kikao chochote kwani mara kadhaa chombo hicho kimekuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda anapokuwa na majukumu mengine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bobbi Kristina bado yuko hospitalini

Familia ya Brown kufanya uchunguzi kilichompata Bobbi Kristina

 

11 years ago

Mwananchi

Alex Masawe yadaiwa yuko huru

 Utata umeibuka kuhusu alipo mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Masawe baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa ameachiwa huru huko Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) alikokuwa akishikiliwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Miliband asema yuko tayari kuongoza

Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza Ed Miliband amesema chama chake kitabadili namna nchi inavyoendeshwa

 

9 years ago

Habarileo

Ndayisenga yuko tayari kutua Simba

MSHAMBULIAJI wa Burundi, Kevin Ndayisenga amesema kwamba yuko tayari kurejea Simba wakati wowote iwapo timu hiyo itafikia makubaliano na meneja wake, Dennis Kadito.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji wa Congo yuko hali mahututi

Mshambuliaji wa timu ya Congo Rudy Guelord Bhebey Ndey yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya kuanguka na kichwa wakati wa mechi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rummenigge:Blatter yuko tayari kubadilika

Rais wa FIFA Sepp Blatter yuko tayari kubadilika,kulingana na mtu anayewakilisha zaidi ya vilabu 200 barani Ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani