Daktari: Mbowe yuko salama
Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kuugua ghafla akiwa kwenye maandaamano na kuwahishwa hospitali ya Taifa Muhimbili, imebainika kuwa hali hiyo imesababishwa na kufanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Trump yuko buheri wa afya, daktari asema
Daktari wa mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump amesema mfanyabiashara huyo mashuhuri yuko buheri wa afya na hana matatizo yoyote makubwa ya kiafya.
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Mungu yuko kanisani
Uendapo kanisani, la kwanza magoti chini,
Chini weka kwa imani, akurehemu Manani,
Manani ya kanisani, kusamehe waumini,
Waumini muamini, Mungu yuko kanisani.
Â
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Job Ndugai yuko wapi?
>Wananchi mbalimbali wamekuwa wakiuliza alipo Naibu Spika Job Ndugai, ambaye tangu kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Muungano hajaongoza kikao chochote kwani mara kadhaa chombo hicho kimekuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda anapokuwa na majukumu mengine.
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Alex Masawe yadaiwa yuko huru
 Utata umeibuka kuhusu alipo mfanyabiashara maarufu nchini, Alex Masawe baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa ameachiwa huru huko Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) alikokuwa akishikiliwa.
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Miliband asema yuko tayari kuongoza
Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza Ed Miliband amesema chama chake kitabadili namna nchi inavyoendeshwa
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ndayisenga yuko tayari kutua Simba
MSHAMBULIAJI wa Burundi, Kevin Ndayisenga amesema kwamba yuko tayari kurejea Simba wakati wowote iwapo timu hiyo itafikia makubaliano na meneja wake, Dennis Kadito.
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Mshambuliaji wa Congo yuko hali mahututi
Mshambuliaji wa timu ya Congo Rudy Guelord Bhebey Ndey yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya kuanguka na kichwa wakati wa mechi.
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Rummenigge:Blatter yuko tayari kubadilika
Rais wa FIFA Sepp Blatter yuko tayari kubadilika,kulingana na mtu anayewakilisha zaidi ya vilabu 200 barani Ulaya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania