Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mungu yuko kanisani

Uendapo kanisani, la kwanza magoti chini, Chini weka kwa imani, akurehemu Manani, Manani ya kanisani, kusamehe waumini, Waumini muamini,  Mungu yuko kanisani.  

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vitisho wanavyopokea Wasomali wasioamini kwamba Mungu yuko

Ayaanle na Kahaa hufanya kazi katika mtandaokuwasaidia Wasomali ambao wana maoni yanayokinzana na utamaduni

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

10 years ago

Mwananchi

Job Ndugai yuko wapi?

>Wananchi mbalimbali wamekuwa wakiuliza alipo Naibu Spika Job Ndugai, ambaye tangu kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Muungano hajaongoza kikao chochote kwani mara kadhaa chombo hicho kimekuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda anapokuwa na majukumu mengine.

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari: Mbowe yuko salama

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kuugua ghafla akiwa kwenye maandaamano na kuwahishwa hospitali ya Taifa Muhimbili, imebainika kuwa hali hiyo imesababishwa na kufanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bobbi Kristina bado yuko hospitalini

Familia ya Brown kufanya uchunguzi kilichompata Bobbi Kristina

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Pierre Nkurunziza yuko wapi?

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, inasemekana ameondoka nchini Tanzania saa moja baada ya kupatikana taarifa za kupinduliwa kwake

 

10 years ago

BBCSwahili

Rummenigge:Blatter yuko tayari kubadilika

Rais wa FIFA Sepp Blatter yuko tayari kubadilika,kulingana na mtu anayewakilisha zaidi ya vilabu 200 barani Ulaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Malaysia yuko Australia

Waziri mkuu wa Malaysia amewashukuru wote wanaosaidia kuitafuta ndege ya Malaysia MH370 iliyotoweka wiki 3 ziliyopita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani