Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vitisho wanavyopokea Wasomali wasioamini kwamba Mungu yuko

Ayaanle na Kahaa hufanya kazi katika mtandaokuwasaidia Wasomali ambao wana maoni yanayokinzana na utamaduni

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mungu yuko kanisani

Uendapo kanisani, la kwanza magoti chini, Chini weka kwa imani, akurehemu Manani, Manani ya kanisani, kusamehe waumini, Waumini muamini,  Mungu yuko kanisani.  

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

10 years ago

GPL

WASOMALI 13 WAKAMATWA MOROGORO

Muonekano wa Wasomali baada ya kukamatwa jana Wilaya ya Mvomero, Morogoro. Polisi akifanya mahojiano na Wasomali hao.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumechoka na vitisho hivi

MARA kwa mara watendaji na viongozi wa serikali wamekuwa na tabia ya kutoa vitisho na wakati mwingine kuvifuta na kuvifungia vyombo vya habari. Tabia hii kwa kiasi kikubwa imechangia kukifisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya imewafurusha wasomali 82

Serikali ya Kenya imewarudisha nyumbani Wasomali 82 waliokamatwa katika msako mkubwa unaoendelea kukabili ugaidi mjini Nairobi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yawakumbatia wasomali

Tanzania imetoa vyeti vya uraia wa Tanzania kwa raia wa Somalia zaidi ya elfu moja na mia tano ambao kiasili walitokea nchini Tanzania zaidi ya karne tatu zilizopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasomali watoroka vita Yemen

Wasomali waliotorokea Yemen sasa wameanza kurudi nyumbani baada ya vita kuzidi nchini Yemen.

 

10 years ago

Mtanzania

Wasomali wawili mbaroni Tanga

chagonjaNA WAANDISHI WETU, TANGA
JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), limewatia mbaroni watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa na asili ya Somalia katika msako unaoendelea dhidi ya kundi la wahalifu wa silaha mkoani Tanga.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi mjini hapa, kiliiambia MTANZANIA kuwa watu hao walikamatwa jana saa 5 asubuhi katika eneo la Kijiji cha Amboni Mafuriko, baada ya kuonekana katika eneo hilo wakiwa wanashangaa na hawajui...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomali washirikiana vipi Cardif?

Kwa zaidi ya miaka 100, kumekuwa na jumuiya ya wasomali huko Cardiff - Zaidi ya vizazi vinne vinaiona Wales ni nyumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani