Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomali washirikiana vipi Cardif?

Kwa zaidi ya miaka 100, kumekuwa na jumuiya ya wasomali huko Cardiff - Zaidi ya vizazi vinne vinaiona Wales ni nyumbani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waumini washirikiana Tanzania

Tanzania ni mfano mzuri wa nchi ambzo waumini wake wa dini mbalimbali wamekuwa wakiishi kwa ushirikiano na mshikamano.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Washirikiana na wateja kuhujumu TANESCO


Clarence Chilumba, Masasi
UKOSEFU wa maadili, uaminifu na kuwapo kwa ubinafsi wa baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilayani  Masasi, vimesababisha kushindwa kudai zaidi ya sh. bilioni moja kutoka kwa wateja. 
Hayo yalibainishwa na Meneja wa TANESCO Masasi, Basilius Kayombo, alipozungumza na Uhuru jana ofisini kwake, kuhusu oparesheni kata umeme kwa wateja sugu inayoendelea wilayani humo. 
Alisema ndani ya shirika kuna baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakifanya kazi kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Moro, Dar washirikiana kutokomeza umaskini

MANSPAA ya Ilala jijini Dar es Salaam na Manspaa ya Morogoro zimezindua programu ya kuwezesha ajira kwa vijana na wanawake. Programu hiyo iitwayo Ujirani mwema kwa maendeleo, itatumia sheria kuu...

 

11 years ago

Habarileo

Malawi, Tanzania washirikiana msiba wa Balozi

Marehemu Flossie ChiyaongaMAOFISA wa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wenzao wa Serikali ya Malawi, wameendelea na maandalizi msiba wa ghafla wa Balozi wa Malawi nchini, Flossie Chiyaonga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Niger washirikiana na Boko Haram

Uchunguzi wa BBC wabaini kuwa raia wa mpakani nchini Niger wanashirikiana na Boko Haram nchini Nigeria kujinufaisha kifedha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya imewafurusha wasomali 82

Serikali ya Kenya imewarudisha nyumbani Wasomali 82 waliokamatwa katika msako mkubwa unaoendelea kukabili ugaidi mjini Nairobi.

 

10 years ago

GPL

WASOMALI 13 WAKAMATWA MOROGORO

Muonekano wa Wasomali baada ya kukamatwa jana Wilaya ya Mvomero, Morogoro. Polisi akifanya mahojiano na Wasomali hao.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yawakumbatia wasomali

Tanzania imetoa vyeti vya uraia wa Tanzania kwa raia wa Somalia zaidi ya elfu moja na mia tano ambao kiasili walitokea nchini Tanzania zaidi ya karne tatu zilizopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani