Washirikiana na wateja kuhujumu TANESCO
Clarence Chilumba, Masasi
UKOSEFU wa maadili, uaminifu na kuwapo kwa ubinafsi wa baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilayani Masasi, vimesababisha kushindwa kudai zaidi ya sh. bilioni moja kutoka kwa wateja.
Hayo yalibainishwa na Meneja wa TANESCO Masasi, Basilius Kayombo, alipozungumza na Uhuru jana ofisini kwake, kuhusu oparesheni kata umeme kwa wateja sugu inayoendelea wilayani humo.
Alisema ndani ya shirika kuna baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakifanya kazi kwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV01 Sep
TANESCO wakanusha kuhujumu kampeni
Shirika la Umeme Nchini TANESCO limekanusha madai ya kukata umeme kwa makusudi ili kuhujumu kampeni za uchaguzi kwa baadhi ya vyama vya upinzani zisionekane na kusikika kupitia vituo mbalimbali vya luninga na redio.
Meneja Uhusiano wa shirika hilo Adrian Severin amesema kukatika kwa umeme huo kunatokana na mgao unaoendelea nchi nzima kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya gesi kwenda Gridi ya Taifa.
Akizungumza jijini Dar es salaam amesema, Tanesco inajiendesha kibiashara na haina mlengo...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-IvNQOD1qzMU/VPmbaH3H9rI/AAAAAAAAB4g/pDpe9k0TY3g/s72-c/Tanesco%2Blogo.jpg)
TANESCO kuboresha uhusiano na wateja
NA MOHAMMED ISSASHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeanzisha utaratibu wa kukutana na wateja wake kwa lengo la kujenga uhusiano mzuri baina ya shirika na wateja hao.
![](http://1.bp.blogspot.com/-IvNQOD1qzMU/VPmbaH3H9rI/AAAAAAAAB4g/pDpe9k0TY3g/s1600/Tanesco%2Blogo.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Mar
TANESCO YAKUBALI KUWEPO MADUDU KWENYE LUKU NI BAADA YA WATEJA KUWA KIZANI KWA SIKU 3
“Ni kweli tunaomba radhi wateja wetu kwamba kuanzia...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Waumini washirikiana Tanzania
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Wasomali washirikiana vipi Cardif?
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
10 years ago
Habarileo23 Jun
Mbaroni kwa kuhujumu BVR
MTU mmoja anashikiliwa na Polisi kwa kujifanya ni Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) huku akidaiwa kushirikiana na watu wengine wasiohusika na uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuhujumu mfumo wa mashine za BVR mkoani Mwanza.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
‘Acheni kuhujumu miundombinu ya reli’
11 years ago
Habarileo12 May
Malawi, Tanzania washirikiana msiba wa Balozi
MAOFISA wa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wenzao wa Serikali ya Malawi, wameendelea na maandalizi msiba wa ghafla wa Balozi wa Malawi nchini, Flossie Chiyaonga.