Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waumini washirikiana Tanzania

Tanzania ni mfano mzuri wa nchi ambzo waumini wake wa dini mbalimbali wamekuwa wakiishi kwa ushirikiano na mshikamano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Malawi, Tanzania washirikiana msiba wa Balozi

Marehemu Flossie ChiyaongaMAOFISA wa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wenzao wa Serikali ya Malawi, wameendelea na maandalizi msiba wa ghafla wa Balozi wa Malawi nchini, Flossie Chiyaonga.

 

5 years ago

Michuzi

ZANZIBAR WASHIRIKIANA NA TANZANIA BARA KUKABILIANA NA CORONA

Na. Catherine Sungura-Zanzibar

Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhe. Hamad Rashid Hamad ameushukuru ujumbe wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bara kutuma wataalam wake kutoka sekta mbali mbali zinazoshirikiana katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Corona.

Mhe. Hamad ameyasema hayo leo ofisini kwake Zanzibar wakati akiongea na timu ya wataalam kutoka Tanzania bara waliofika visiwani hapa kwa ajili ya kubadilishana uzoefu pamoja na kuweka mikakati ya...

 

5 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Tanzania nchini India washirikiana na “Air Tanzania” kufanikisha Kongamano la Biashara na Uwekezaji Jijini Mumbai

Ubalozi wa Tanzania nchini India wakishirikiana na Shirika la Ndege la Tanzania [Air Tanzania] waliandaa Kongamano la Biashara na Uwekezaji lililofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Mumbai ambapo wafanyabiashara wapatao 40 kutoka Tanzania, Maofisa kutoka Kituo Cha Uwekezaji [Tanzania Investment Centre] na “Air Tanzania” walikutanishwa na wafanyabiashara, wawekezaji na wasafirishaji wa bidhaa wa India wapatao 60. 
Pamoja na mambo mengine kongamano hilo lililenga...

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya NMB, Mastercard na EYWA washirikiana kuleta mfumo wa malipo kwa njia ya kidijitali kwa wasafiri Tanzania

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Mastercard na kampuni ya utoaji huduma za usafiri - EYWA, wamezindua mfumo mpya wa malipo kwa njia ya kidijitali kwa wasafiri nchini Tanzania. Mfumo huo unaojulikana kama ‘EYWA Transit Solution’, utawawezesha wasafiri kukata tiketi kwa njia ya kidijitali kupitia simu za mkononi na kadi maalumu. 

Suluhisho hili linalenga kutatua changamoto za huduma za usafirishaji nchini kwa kupunguza matumizi ya mfumo wa malipo ya fedha taslimu na kuwa katika njia ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomali washirikiana vipi Cardif?

Kwa zaidi ya miaka 100, kumekuwa na jumuiya ya wasomali huko Cardiff - Zaidi ya vizazi vinne vinaiona Wales ni nyumbani.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Washirikiana na wateja kuhujumu TANESCO


Clarence Chilumba, Masasi
UKOSEFU wa maadili, uaminifu na kuwapo kwa ubinafsi wa baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilayani  Masasi, vimesababisha kushindwa kudai zaidi ya sh. bilioni moja kutoka kwa wateja. 
Hayo yalibainishwa na Meneja wa TANESCO Masasi, Basilius Kayombo, alipozungumza na Uhuru jana ofisini kwake, kuhusu oparesheni kata umeme kwa wateja sugu inayoendelea wilayani humo. 
Alisema ndani ya shirika kuna baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakifanya kazi kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Niger washirikiana na Boko Haram

Uchunguzi wa BBC wabaini kuwa raia wa mpakani nchini Niger wanashirikiana na Boko Haram nchini Nigeria kujinufaisha kifedha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Moro, Dar washirikiana kutokomeza umaskini

MANSPAA ya Ilala jijini Dar es Salaam na Manspaa ya Morogoro zimezindua programu ya kuwezesha ajira kwa vijana na wanawake. Programu hiyo iitwayo Ujirani mwema kwa maendeleo, itatumia sheria kuu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Madaktari washirikiana kuokoa maisha ya Pacha walioungana

Mwanza conjoined twins

Timu ya madaktari wa watoto katika hospitali ya rufaa ya Bugando wameungana ili kuokoa maisha ya  mapacha walioungana. Mapacha hao wamezaliwa na Elena Paulo, mwenye umri wa miaka 20, Januari 3, mwaka huu katika hospitali ya  hospitali ya mkoa ya Mara  na baadaye kuhamishiwa katika hospital ya rufaa ya Bugando mkoani  Mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi.

Watoto hao walikuwa na uzito wa kilo 4.6 kwa pamoja wakati walipozaliwa na walikuwa wameungana vifua na matumbo.

Kwa mujibu wa Dk Festo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani