Waumini washirikiana Tanzania
Tanzania ni mfano mzuri wa nchi ambzo waumini wake wa dini mbalimbali wamekuwa wakiishi kwa ushirikiano na mshikamano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 May
Malawi, Tanzania washirikiana msiba wa Balozi
MAOFISA wa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wenzao wa Serikali ya Malawi, wameendelea na maandalizi msiba wa ghafla wa Balozi wa Malawi nchini, Flossie Chiyaonga.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VREgq-K5VRQ/Xmj2MddGSBI/AAAAAAALipI/gVZFf7JC48E0gknkEZnHNl9Hsy1WmUj2QCLcBGAsYHQ/s72-c/2fd4ef68-dd50-4057-95c4-1217a186073a.jpg)
ZANZIBAR WASHIRIKIANA NA TANZANIA BARA KUKABILIANA NA CORONA
Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhe. Hamad Rashid Hamad ameushukuru ujumbe wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bara kutuma wataalam wake kutoka sekta mbali mbali zinazoshirikiana katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Corona.
Mhe. Hamad ameyasema hayo leo ofisini kwake Zanzibar wakati akiongea na timu ya wataalam kutoka Tanzania bara waliofika visiwani hapa kwa ajili ya kubadilishana uzoefu pamoja na kuweka mikakati ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sS9ZZTusDEg/XmM4hiiLinI/AAAAAAALhrM/YVkVHkyT35sm3R5wB2N012XSmFf-XUjFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B14.06.49.jpeg)
Ubalozi wa Tanzania nchini India washirikiana na “Air Tanzania†kufanikisha Kongamano la Biashara na Uwekezaji Jijini Mumbai
![](https://1.bp.blogspot.com/-sS9ZZTusDEg/XmM4hiiLinI/AAAAAAALhrM/YVkVHkyT35sm3R5wB2N012XSmFf-XUjFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B14.06.49.jpeg)
Pamoja na mambo mengine kongamano hilo lililenga...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-03lu8XbYLjg/XrO9wnOCIkI/AAAAAAAEG7w/GIi8XFrwtUkpngDJJ51tdq-41lWcd8_kACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Benki ya NMB, Mastercard na EYWA washirikiana kuleta mfumo wa malipo kwa njia ya kidijitali kwa wasafiri Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-03lu8XbYLjg/XrO9wnOCIkI/AAAAAAAEG7w/GIi8XFrwtUkpngDJJ51tdq-41lWcd8_kACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Suluhisho hili linalenga kutatua changamoto za huduma za usafirishaji nchini kwa kupunguza matumizi ya mfumo wa malipo ya fedha taslimu na kuwa katika njia ya...
11 years ago
BBCSwahili28 Feb
Wasomali washirikiana vipi Cardif?
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Washirikiana na wateja kuhujumu TANESCO
Clarence Chilumba, Masasi
UKOSEFU wa maadili, uaminifu na kuwapo kwa ubinafsi wa baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilayani Masasi, vimesababisha kushindwa kudai zaidi ya sh. bilioni moja kutoka kwa wateja.
Hayo yalibainishwa na Meneja wa TANESCO Masasi, Basilius Kayombo, alipozungumza na Uhuru jana ofisini kwake, kuhusu oparesheni kata umeme kwa wateja sugu inayoendelea wilayani humo.
Alisema ndani ya shirika kuna baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakifanya kazi kwa...
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Raia wa Niger washirikiana na Boko Haram
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Moro, Dar washirikiana kutokomeza umaskini
MANSPAA ya Ilala jijini Dar es Salaam na Manspaa ya Morogoro zimezindua programu ya kuwezesha ajira kwa vijana na wanawake. Programu hiyo iitwayo Ujirani mwema kwa maendeleo, itatumia sheria kuu...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Madaktari washirikiana kuokoa maisha ya Pacha walioungana
Timu ya madaktari wa watoto katika hospitali ya rufaa ya Bugando wameungana ili kuokoa maisha ya mapacha walioungana. Mapacha hao wamezaliwa na Elena Paulo, mwenye umri wa miaka 20, Januari 3, mwaka huu katika hospitali ya hospitali ya mkoa ya Mara na baadaye kuhamishiwa katika hospital ya rufaa ya Bugando mkoani Mwanza kwa ajili ya matibabu zaidi.
Watoto hao walikuwa na uzito wa kilo 4.6 kwa pamoja wakati walipozaliwa na walikuwa wameungana vifua na matumbo.
Kwa mujibu wa Dk Festo...