ZANZIBAR WASHIRIKIANA NA TANZANIA BARA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VREgq-K5VRQ/Xmj2MddGSBI/AAAAAAALipI/gVZFf7JC48E0gknkEZnHNl9Hsy1WmUj2QCLcBGAsYHQ/s72-c/2fd4ef68-dd50-4057-95c4-1217a186073a.jpg)
Na. Catherine Sungura-Zanzibar
Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhe. Hamad Rashid Hamad ameushukuru ujumbe wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bara kutuma wataalam wake kutoka sekta mbali mbali zinazoshirikiana katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Corona.
Mhe. Hamad ameyasema hayo leo ofisini kwake Zanzibar wakati akiongea na timu ya wataalam kutoka Tanzania bara waliofika visiwani hapa kwa ajili ya kubadilishana uzoefu pamoja na kuweka mikakati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FzS1kTxjLgg/Xs5rHfXRP-I/AAAAAAALru8/7iKKZkm4UjEpwB2klmXHD6vtYMlaKEJlwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
ZANZIBAR YALEGEZA MASHARTI KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FzS1kTxjLgg/Xs5rHfXRP-I/AAAAAAALru8/7iKKZkm4UjEpwB2klmXHD6vtYMlaKEJlwCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
NDUGU WANANCHI,KWANZA KABISA HATUNA BUDI KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUJAALIA UZIMA NA AFYA NJEMA NA KUWEZA KUTIMIZA MOJA KATI YA NGUZO ZA KIISLAMU YA KUFUNGA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI, KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA IDDI EL-FITRI PAMOJA NA KUINGIA KATIKA MWEZI WA SHAWAL NA KWA WALE WANAOENDELEA NA FUNGA YA SITA NAWATAKIA FUNGA NJEMA.
NDUGU...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zQ6Hwdb0aW8/XqgoD1INhCI/AAAAAAALof0/w5TzFs6pDqow6DNcvBFct8i1RZs-hM-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/324.jpg)
SERIKALI YA ZANZIBAR YAPOKEA SH.MILIONI AROBAINI ILI KUKABILIANA NA CORONA
Michango hiyo imetolewa na Uongozi wa Benki ya NMB iliyokabidhi Shilingi Milioni 30,000,000/-, Benki ya Maendeleo Vijijini {CRDB} Shilingi Milioni 30,000,000/- pamoja na Uongozi wa Bodi ya...
5 years ago
MichuziWaziri wa Afya Zanzibar awataka wananchi kuchukuwa Tahadhari zaidi kukabiliana na Maradhi ya Corona
Na Ramadhani Ali – Maelezo
Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zaidi ya kinga katika kukabiliana na maradhi ya Corona ikiwemo kupunguza mikusanyiko na safari zisizokuwa za lazima.
Waziri Afya Hamad Rashid Mohamed alieleza hayo alipokuwa akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu hatua mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali kukabiliana na maradhi hayo.
Alisema ni vyema wananchi ambao hawana ulazima wakutoka, kubaki majumbani mwao na kujenga tabia ya...
11 years ago
Habarileo19 Mar
Malalamiko ya Tanzania Bara, Zanzibar hadharani
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwemo Serikali ya Tanganyika kuvaa koti la Serikali ya Muungano ambalo linaisaidia Tanganyika zaidi kuliko Zanzibar.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jsUEWWQm9Qk/VFdRKn3UHYI/AAAAAAAGvPo/-5cRqMiiTFs/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Majina ya Zanzibar, Tanzania Bara ni sumu kwa Muungano
MNYUKANO unaoendelea kwa sasa katika Bunge Maalumu la Katiba ni wa muundo wa Muungano wa Tanzania. Ni katika mjadala wa serikali mbili dhidi ya serikali tatu kama zilivyopendekezwa kwenye Rasimu...
10 years ago
VijimamboMTANANGE WA ZANZIBAR HEROES NA TANZANIA BARA KATIKA PICHA
10 years ago
Vijimambo11 Jan
MATEMBEZI YA VIJANA 500 (UVCCM) WA MIKOA YA ZANZIBAR NA TANZANIA BARA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed1f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed2f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed4f.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/unnamed5f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3vI_pVamJFY/XpAPXnD7HWI/AAAAAAALms4/LK0v6VCIsAscbDG2tX1yoEzeg9ZVSn06gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8428.jpg)
BrighterMonday Tanzania yazindua kampeni ya ‘Umoja Wakati wa Shida’ kusaidia Waajiri Kukabiliana na Athari za Janga la Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-3vI_pVamJFY/XpAPXnD7HWI/AAAAAAALms4/LK0v6VCIsAscbDG2tX1yoEzeg9ZVSn06gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_8428.jpg)
Kampeni hii inalenga kuwezesha uendelevu wa juhudi za makampuni na biashara kwa kuziwesesha kufanya udahili na kuajiri watendaji sahihi ili kuongeza ufanisi...