SERIKALI YA ZANZIBAR YAPOKEA SH.MILIONI AROBAINI ILI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zQ6Hwdb0aW8/XqgoD1INhCI/AAAAAAALof0/w5TzFs6pDqow6DNcvBFct8i1RZs-hM-ggCLcBGAsYHQ/s72-c/324.jpg)
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeendelea kupokea Michango mbali mbali ya Fedha Taslim jumla ya Shilingi Milioni sabini {70,000,000/-} zilizotolewa na Taasisi tofauti Nchini kwa ajili ya kusaidia nguvu za Serikali katika Mapambano yake dhidi ya kupiga vita kuenea kwa Virusi vya Corona Nchini.
Michango hiyo imetolewa na Uongozi wa Benki ya NMB iliyokabidhi Shilingi Milioni 30,000,000/-, Benki ya Maendeleo Vijijini {CRDB} Shilingi Milioni 30,000,000/- pamoja na Uongozi wa Bodi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-15sDwXU2YsE/Xntad5iZ1XI/AAAAAAALk_k/3xBUGTNkS80E46noq7IM6LfAt5cUTHloQCLcBGAsYHQ/s72-c/1b60b15e-9ca5-4f63-a695-b921f9ac3ad6.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
Serikali imepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliobainika kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s72-c/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s640/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5bcf623c-97df-4ac1-b490-a1bb45ff58a7.jpg)
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeipatia Serikali msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kuendelea kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 (Corona), na kuahidi kuendelea kushirikian...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0024.jpg)
SERIKALI YAPOKEA TANI TATU YA VIFAA KUTOKA CHINA VYA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200325-WA0024.jpg)
Serikali ya Tanzania mepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RnZQ3CypZ48/XptF_r6wMVI/AAAAAAALnW4/TsbMNctnBakvmZbRNQlvntVekKAh2PjUwCLcBGAsYHQ/s72-c/5be10df3d5a9d9b84690063962bbfb23.jpg)
KATAVI YAPOKEA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
* RC KATAVI ATOA SAA 48 KWA MCHINA ALIYEKATAA KUNAWA AFIKISHWE MAHAKAMANI.
Serikali Mkoani Katavi imepokea Vifaa tiba kwa ajili ya kuendelea na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Corona ikiwemo vifaa vinavyotumika kupima joto la mwili ambapo ni miongoni mwa changamoto iliyokuwa ikiukabiri Mkoa huo huku Mkuu wa Mkoa wa Katavi akitoa masaa 48 kwa Jeshi la Polisi kumfikisha Mahakamani Raia wa Kichina aliyekataa kunawa mikono yake maji tiririka.
Akipokea Vifaa hivyo kutoka Water Reed Program...
5 years ago
MichuziMANISPAA YA TEMEKE YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7GwUaOKoKvs/Xr6aJ0QnzlI/AAAAAAALqWg/VTimD9DfHPwAD8SwWvDMtDYZoXaj4XWXQCLcBGAsYHQ/s72-c/97dcc94a-538e-484e-abbb-f91eb432a7e8.jpg)
Serikali yapokea vifaakinga vya shilingi milioni 700/- kutoka serikali ya China
Msaada huo umetoleowa leo katika Bohari ya Dawa (Medical Stores Department) na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Mabula Mchembe.
Prof. Mchembe amesema kwamba msaada huo umekuja wakati mzuri kwani utawasaidia watumishi wa afya katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona...
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Serikali yapokea gari na pikipiki kukabiliana na ugonjwa wa kifua kikuu na ukoma nchini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akipokea ufunguo wa moja ya gari kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 jijini Dar es salaam.
Eleuteri Mangi-MAELEZO
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imepokea msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 kutoka Shirika la GLRA kutoka nchini Ujerumani kwa ajili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFUWmqrJLQ4Z5thYvNi*4wUooQxJqhvF*E3vAOe7pwPRKvP2NHhnHzxcI8igVyu*sE3Mc2gqZc2V7KCOWZiihEdr/001.jpg?width=650)
SERIKALI YAPOKEA MAGARI NA PIKIPIKI KUKABILIANA NA UGONJWA WA KIFUA KIKUU NA UKOMA NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/NHKK.jpg)
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ili kupambana na ugonjwa wa Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s640/NHKK.jpg)