Majina ya Zanzibar, Tanzania Bara ni sumu kwa Muungano
MNYUKANO unaoendelea kwa sasa katika Bunge Maalumu la Katiba ni wa muundo wa Muungano wa Tanzania. Ni katika mjadala wa serikali mbili dhidi ya serikali tatu kama zilivyopendekezwa kwenye Rasimu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTANZANIA BARA YAKUBALI KIPIGO CHA GOLI 7-1 KUTOKA ZANZIBAR HEROES WADAI WAMEFUNGWA KUIMARISHA MUUNGANO
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Katiba inayopendekezwa yakabidhiwa rasmi kwa waheshimiwa marais wa Tanzania Bara na Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akipokea Katiba Inayopendekezwa toka kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta wakati wa sherehe ya Makabidhiano ya Katiba hiyo iliyofanyika jana 8 Oktoba, 2014 mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
KATIBA Inayopendekezwa imekabidhiwa rasmi 8 Oktoba, 2014 kwa Waheshimiwa Marais wa Tanzania Bara, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete pamoja Rais wa Zanzibar, Mhe. Ali Mohammed...
11 years ago
Habarileo05 Apr
‘Tanzania Bara itavua koti la Muungano’
MWENYEKITI wa Kamati namba Sita ya Bunge Maalum la Katiba, Stephen Wassira amesema kamati yake imependekeza Tanzania Bara kuvua koti la Muungano, linalodaiwa kuvaliwa ili koti hilo sasa livaliwe na pande zote za Tanzania Bara na Zanzibar, kama njia ya kuimarisha Muungano.
10 years ago
VijimamboHASHEEM THABEET ASHUHUDIA KIPIGO TANZANIA BARA CHA GOLI 7-1 KUTOKA KWA ZANZIBAR HEROES
11 years ago
Habarileo19 Mar
Malalamiko ya Tanzania Bara, Zanzibar hadharani
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, ametaja malalamiko 10 ya kila upande wa Muungano, ambayo yanatishia kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ikiwemo Serikali ya Tanganyika kuvaa koti la Serikali ya Muungano ambalo linaisaidia Tanganyika zaidi kuliko Zanzibar.
9 years ago
MichuziRais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli Atoa Mkono wa Krismas na Mwaka Mpya kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar.
Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VREgq-K5VRQ/Xmj2MddGSBI/AAAAAAALipI/gVZFf7JC48E0gknkEZnHNl9Hsy1WmUj2QCLcBGAsYHQ/s72-c/2fd4ef68-dd50-4057-95c4-1217a186073a.jpg)
ZANZIBAR WASHIRIKIANA NA TANZANIA BARA KUKABILIANA NA CORONA
Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Mhe. Hamad Rashid Hamad ameushukuru ujumbe wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania bara kutuma wataalam wake kutoka sekta mbali mbali zinazoshirikiana katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo Corona.
Mhe. Hamad ameyasema hayo leo ofisini kwake Zanzibar wakati akiongea na timu ya wataalam kutoka Tanzania bara waliofika visiwani hapa kwa ajili ya kubadilishana uzoefu pamoja na kuweka mikakati ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jsUEWWQm9Qk/VFdRKn3UHYI/AAAAAAAGvPo/-5cRqMiiTFs/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...
10 years ago
VijimamboMTANANGE WA ZANZIBAR HEROES NA TANZANIA BARA KATIKA PICHA