Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema uamuzi uliochukuliwa na Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar wa kujadiliana na mjenzi wa Bara bara ya Koani hadi Jumbi ndio njia pekee itakayoweza kufanikisha ujenzi wa Bara bara hiyo. Alisema uamuzi wa pande hizo mbili wa kupelekana Mahakamani hautowasaidia Wananchi ambao lengo lao ni kupata huduma za mawasiliano ya bara bara kwa kuendesha harakati zao za kimaisha.
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBalozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Bara bara ya Wete hado Konde,Pemba
Harakati za...
11 years ago
MichuziBalozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Hoteli Mpya ya Daraja la Saba ya Grand Hayatt Zaznzibar
10 years ago
MichuziBalozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar
9 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AZINDUA KAMPENI JIMBO LA UZINI, ZANZIBAR
11 years ago
Michuzibalozi seif ali iddi amwaga misaada jimboni kwake kitope, zanzibar
10 years ago
MichuziZANZIBAR INAHITAJI KUENDELEA KUWA SALAMA NA TULIVU-BALOZI SEIF ALI IDDI
5 years ago
MichuziWahandisi wa Ujenzi Wazalendo lazima wajenge Heshima wakati wa kutekeleza Miradi wanayokabidhiwa -BALOZI SEIF ALI IDDI
Alisema wapo baadhi ya Wataalamu Wazalendo wenye tabia chafu isiyokubalika ya kuwadanganya Viongozi pamoja na Taasisi zilizowakabidhi Miradi ya Ujenzi bila ya kujali kwamba wametia saini Mkataba unaowapa wajibu wa kuutekeleza kwa muda muwafaka.
Balozi...
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA TISA WA TATHMINI YA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
MichuziBALOZI SEIF ALI IDDI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KITUO CHA TIBA NA MAREKEBISHO YA TABIA KWA VIJANA.