TANESCO kuboresha uhusiano na wateja
![](http://1.bp.blogspot.com/-IvNQOD1qzMU/VPmbaH3H9rI/AAAAAAAAB4g/pDpe9k0TY3g/s72-c/Tanesco%2Blogo.jpg)
NA MOHAMMED ISSASHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeanzisha utaratibu wa kukutana na wateja wake kwa lengo la kujenga uhusiano mzuri baina ya shirika na wateja hao. Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Usambazaji Huduma kwa Wateja wa TANESCO, Sophia Mjema, alisema utaratibu huo utaboresha uhusiano baina ya shirika na wateja pamoja na kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazojitokeza. Alisema wameanza kukutana na wateja wakubwa na badae watakutana na wateja wa kati na wadogo ili kuongeza ufanisi...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Jul
Balozi aagizwa kuboresha uhusiano
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtaka Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi, Wynjones Kisamba kuhakikisha azma ya Serikali ya kuona uhusiano wake na Urusi unaimarika inafikiwa.
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Tanzania yaishauri ICC kuboresha uhusiano na Afrika
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gLazLqN1Zgg/VI3XLBWtY0I/AAAAAAADR2k/iw2DERcwd_g/s72-c/FullSizeRender.jpg)
TANZANIA YAISHAURI ICC KUBORESHA UHUSIANO WAKE NA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gLazLqN1Zgg/VI3XLBWtY0I/AAAAAAADR2k/iw2DERcwd_g/s1600/FullSizeRender.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ihmh95daLsA/VI3XOZTb9SI/AAAAAAADR2w/oPx8RA2hIVU/s1600/FullSizeRender%2B(2).jpg)
9 years ago
StarTV23 Dec
TANESCO yatakiwa kuboresha miundombinu
Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo amesema ni vigumu shirika la umeme nchini TANESCO kuondokana na madeni kama litashindwa kuboresha mikataba linayoingia na wawekezaji katika uboreshaji wa miundombinu ya Shirika hilo.
Mapema jana katika ofisi za kituo cha kuzalisha umeme cha Nyakato jijini Mwanza profesa Sospitar Muhongo alikutana na viongozi wa shirika la TANESCO kujadili namna bora ya kuondokana ana adha ya katizo la umeme kwa wakazi wa kanda ya Ziwa.
Taarifa za...
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Washirikiana na wateja kuhujumu TANESCO
Clarence Chilumba, Masasi
UKOSEFU wa maadili, uaminifu na kuwapo kwa ubinafsi wa baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilayani Masasi, vimesababisha kushindwa kudai zaidi ya sh. bilioni moja kutoka kwa wateja.
Hayo yalibainishwa na Meneja wa TANESCO Masasi, Basilius Kayombo, alipozungumza na Uhuru jana ofisini kwake, kuhusu oparesheni kata umeme kwa wateja sugu inayoendelea wilayani humo.
Alisema ndani ya shirika kuna baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakifanya kazi kwa...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wateja waitaka Dawasco kuboresha huduma zake
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-x5I_yby-kT4/VIwyElo2ypI/AAAAAAAG2-g/WJsssf_kzYE/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TANZANIA YAISHAURI MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA MAKOSA YA JINAI (ICC) KUBORESHA UHUSIANO WAKE NA BARA LA AFRIKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P52VKPKRgFs/VK0fPvvQL5I/AAAAAAAG7zU/O7D6G9q3UXU/s72-c/DSC_0023.jpg)
BANK M KUBORESHA ZAIDI HUDUMA KWA WATEJA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-P52VKPKRgFs/VK0fPvvQL5I/AAAAAAAG7zU/O7D6G9q3UXU/s1600/DSC_0023.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4uDlFyglBIA/VK0fPipaDQI/AAAAAAAG7zY/5dyWOtJrpMA/s1600/DSC_0026.jpg)
Benki M imesema imeendelea kuboresha huduma kwa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE NA WIZARA YA USHIRIKIANO AFRIKA MASHARIKI ZALENGA KUBORESHA UHUSIANO WA TANZANIA KIMATAIFA.