Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANESCO kuboresha uhusiano na wateja



NA MOHAMMED ISSASHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeanzisha utaratibu wa kukutana na wateja wake kwa lengo la kujenga uhusiano mzuri baina ya shirika na wateja hao. Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Usambazaji Huduma kwa Wateja wa TANESCO, Sophia Mjema, alisema utaratibu huo utaboresha uhusiano baina ya shirika na wateja pamoja na kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazojitokeza. Alisema wameanza kukutana na wateja wakubwa na badae watakutana na wateja wa kati na wadogo ili kuongeza ufanisi...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Balozi aagizwa kuboresha uhusiano

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amemtaka Balozi mpya wa Tanzania nchini Urusi, Wynjones Kisamba kuhakikisha azma ya Serikali ya kuona uhusiano wake na Urusi unaimarika inafikiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yaishauri ICC kuboresha uhusiano na Afrika

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Dessalegn, alisema kesi za Rais Kenyatta na Omar al-Bashir wa Sudan zinazuia juhudi za kuleta amani na mapatano katika nchi zao.

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA YAISHAURI ICC KUBORESHA UHUSIANO WAKE NA AFRIKA

Balozi Irene Kasyanju, Mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, akizungumza wakati wa Mkutano wa Kumi na Tatu wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ( ICC). Mkutano huo wa wiki mbili unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.Sehemu ya wajumbe wa nchi wanachama wa Mkataba wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai wakimsikiliza Mwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika...

 

9 years ago

StarTV

TANESCO yatakiwa kuboresha miundombinu

Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo amesema ni vigumu shirika la umeme nchini TANESCO kuondokana na madeni kama litashindwa kuboresha mikataba linayoingia na wawekezaji katika uboreshaji wa miundombinu ya Shirika hilo.

 Mapema jana katika ofisi za kituo cha kuzalisha umeme cha Nyakato jijini Mwanza profesa Sospitar Muhongo alikutana na viongozi wa shirika la TANESCO kujadili namna bora ya kuondokana ana adha ya katizo la umeme kwa wakazi wa kanda ya Ziwa.

Taarifa za...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Washirikiana na wateja kuhujumu TANESCO


Clarence Chilumba, Masasi
UKOSEFU wa maadili, uaminifu na kuwapo kwa ubinafsi wa baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilayani  Masasi, vimesababisha kushindwa kudai zaidi ya sh. bilioni moja kutoka kwa wateja. 
Hayo yalibainishwa na Meneja wa TANESCO Masasi, Basilius Kayombo, alipozungumza na Uhuru jana ofisini kwake, kuhusu oparesheni kata umeme kwa wateja sugu inayoendelea wilayani humo. 
Alisema ndani ya shirika kuna baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakifanya kazi kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wateja waitaka Dawasco kuboresha huduma zake

Baada ya kupandisha bei ya huduma zake, baadhi ya wateja wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) wamelitaka kuziboresha ili ziendane na ongezeko la gharama.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAISHAURI MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA MAKOSA YA JINAI (ICC) KUBORESHA UHUSIANO WAKE NA BARA LA AFRIKA

 Na Mwandishi Maalum, New York Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesema, mafanikio ya Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) yatategemea uimarishishwaji wa ushirikiano kati ya Makahama hiyo na Afrika. Na kwa sababu hiyo, Tanzania imeshauri kuwa Rais Mpya wa Mkutano wa Nchi wanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai hana budi kuhakikisha kuwa moja ya vipaumbele vyake vijielekeze katika kuimarisha uhusiano wa Makahama hiyo na Afrika.  Ushauri huo umetolewa...

 

10 years ago

Michuzi

BANK M KUBORESHA ZAIDI HUDUMA KWA WATEJA WAKE

 Naibu Mkurugenzi wa Habari wa Bank M,Allan Msalilwa akizungumza na waandishi habari (hawapo pichani) katika Ukumbi wa Hayyat Regency ,jijini Dar es Salaam juu ya huduma zinazotolewa na benki hiyo.Afisa Mtendaji Mkuu Biashara wa Bank M,Jacqueline Woiso akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu uboreshaji wa huduma kwa wateja wa benki hiyo.======= ======== ======== ===========Na Chalila Kibuda na Globu ya Jamii,Dar.


Benki M imesema imeendelea kuboresha huduma kwa...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA WIZARA YA USHIRIKIANO AFRIKA MASHARIKI ZALENGA KUBORESHA UHUSIANO WA TANZANIA KIMATAIFA.

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. Bernard Membe akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni leo mjini Dodoma.  Mabalozi wa Tanzania kwenye nchi mbalimbali duniani wakifuatilia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka 2015/2016 iliyowasilishwa leo bungeni mjini Dodoma. Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Harrison Mwakyembe akimsikiliza kwa makini mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani