‘Acheni kuhujumu miundombinu ya reli’
Watanzania wameaswa kuvaa uzalendo na kuachana na tabia ya kuhujumu miundombinu ya reli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mvua yaharibu miundombinu reli
5 years ago
Michuzi
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.

11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Reli yawatunuku askari reli watunukiwa
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
11 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Washirikiana na wateja kuhujumu TANESCO
Clarence Chilumba, Masasi
UKOSEFU wa maadili, uaminifu na kuwapo kwa ubinafsi wa baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilayani Masasi, vimesababisha kushindwa kudai zaidi ya sh. bilioni moja kutoka kwa wateja.
Hayo yalibainishwa na Meneja wa TANESCO Masasi, Basilius Kayombo, alipozungumza na Uhuru jana ofisini kwake, kuhusu oparesheni kata umeme kwa wateja sugu inayoendelea wilayani humo.
Alisema ndani ya shirika kuna baadhi ya wafanyakazi wamekuwa wakifanya kazi kwa...
10 years ago
StarTV01 Sep
TANESCO wakanusha kuhujumu kampeni
Shirika la Umeme Nchini TANESCO limekanusha madai ya kukata umeme kwa makusudi ili kuhujumu kampeni za uchaguzi kwa baadhi ya vyama vya upinzani zisionekane na kusikika kupitia vituo mbalimbali vya luninga na redio.
Meneja Uhusiano wa shirika hilo Adrian Severin amesema kukatika kwa umeme huo kunatokana na mgao unaoendelea nchi nzima kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya gesi kwenda Gridi ya Taifa.
Akizungumza jijini Dar es salaam amesema, Tanesco inajiendesha kibiashara na haina mlengo...
10 years ago
Habarileo23 Jun
Mbaroni kwa kuhujumu BVR
MTU mmoja anashikiliwa na Polisi kwa kujifanya ni Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) huku akidaiwa kushirikiana na watu wengine wasiohusika na uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuhujumu mfumo wa mashine za BVR mkoani Mwanza.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Mlebanoni kizimbani kwa kuhujumu uchumi
RAIA wa Lebanon, Mohamed Attwi (27), amepandiswa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana, akikabiliwa na mashitaka sita likiwemo la kuisababishia hasara ya zaidi ya...