Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Reli yawatunuku askari reli watunukiwa

Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KIGOMA MWISHO WA RELI

Mdau Hassan aliopo safarini Mkoani Kigoma,ametuletea taswira hii aliyoidaka leo alipotembelea eneo la mwisho wa Reli mkoani Kigoma.

 

11 years ago

Habarileo

Reli ya kati kuimarishwa

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete: Reli, barabara zijengwe

 Serikali imesema nguvu kubwa inahitajika kutoka kwa wadau wa maendeleo ili kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya kuunganisha Bandari ya Dar es Salaam na nchi jirani zisizokuwa na bandari.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Uboreshaji bandari uendane na reli

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imekuwa katika mchakato wa kuboresha huduma zinazotolewa na bandari za Tanzania hasa Bandari ya Dar es Salaam kwa muda sasa, kitendo kinachostahili kuungwa mkono.

Katika uboreshaji wa huduma hizo, TPA imefungua ofisi ndogo mbili nje ya nchi; moja jijini Lusaka, Zambia na nyingine huko Lubumbashi, DRC ambazo zitawasaidia wafanyabiashara kutoka nchi hizo kufuatilia mizigo yao na kupata huduma bila kusafiri hadi Dar es Salaam.

Tayari...

 

11 years ago

Mwananchi

Uvamizi wasababishia reli maafa

Uvamizi na uharibifu wa mazingira pembezoni mwa njia za reli, unatajwa kuwa sababu ya kuharibika kwa miundombinu ya reli mara kwa mara.

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu miundombinu reli

Wakati timu ya wahandisi ikiendelea kufanya tathimni na marekebisho ya awali ya kipande cha reli reli kilichoharibika eneo la Godegode kutokana na mvua kubwa zilizoanza kunyesha mwanzoni mwa Januari mkoani Dodoma, hali imekuwa mbaya zaidi baada ya kipande kingine kuharibika upya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndoto ya reli ya kasi Kenya!

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amezindua rasmi mradi wa reli katika jiji la Mombasa, utakaounganisha Kenya na Uganda, Sudan Kusini na Rwanda

 

11 years ago

Habarileo

Matumaini Reli ya Kati yaonekana

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiangalia moja ya mabehewa 25 ya kubeba kokoto kutoka India, likishushwa katika bandari ya Dar es Salaam jana. (Picha na Mroki Mroki).MATUMAINI ya kuboreshwa kwa Reli ya Kati kwa lengo la kuimarisha usafirishaji wa abiria na mizigo, yanazidi kuonekana baada ya serikali kuingiza mabehewa 25, ambayo ni maalumu kwa usafirishaji wa vifaa vya ukarabati wa njia hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Reli Dar, suluhisho la msongamano

Treni ya TRL.WAKATI msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam ukiwa moja ya changamoto zinazozungumzwa zaidi na watangaza nia ya urais, huku wengi wakizungumzia ujenzi wa barabara za pete kuwa suluhisho, Rais Jakaya Kikwete amekuja na wazo jipya na ameanza kulifanyia kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani