Reli yawatunuku askari reli watunukiwa
Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bZcqdPHixI4/VByUapdt1LI/AAAAAAAGkoQ/40OzDu0QiiE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
KIGOMA MWISHO WA RELI
![](http://4.bp.blogspot.com/-bZcqdPHixI4/VByUapdt1LI/AAAAAAAGkoQ/40OzDu0QiiE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
11 years ago
Habarileo25 Jun
Reli ya kati kuimarishwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Kikwete: Reli, barabara zijengwe
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Uboreshaji bandari uendane na reli
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imekuwa katika mchakato wa kuboresha huduma zinazotolewa na bandari za Tanzania hasa Bandari ya Dar es Salaam kwa muda sasa, kitendo kinachostahili kuungwa mkono.
Katika uboreshaji wa huduma hizo, TPA imefungua ofisi ndogo mbili nje ya nchi; moja jijini Lusaka, Zambia na nyingine huko Lubumbashi, DRC ambazo zitawasaidia wafanyabiashara kutoka nchi hizo kufuatilia mizigo yao na kupata huduma bila kusafiri hadi Dar es Salaam.
Tayari...
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Uvamizi wasababishia reli maafa
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mvua yaharibu miundombinu reli
11 years ago
BBCSwahili02 Dec
Ndoto ya reli ya kasi Kenya!
11 years ago
Habarileo25 Jul
Matumaini Reli ya Kati yaonekana
MATUMAINI ya kuboreshwa kwa Reli ya Kati kwa lengo la kuimarisha usafirishaji wa abiria na mizigo, yanazidi kuonekana baada ya serikali kuingiza mabehewa 25, ambayo ni maalumu kwa usafirishaji wa vifaa vya ukarabati wa njia hiyo.
10 years ago
Habarileo20 Jun
Reli Dar, suluhisho la msongamano
WAKATI msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam ukiwa moja ya changamoto zinazozungumzwa zaidi na watangaza nia ya urais, huku wengi wakizungumzia ujenzi wa barabara za pete kuwa suluhisho, Rais Jakaya Kikwete amekuja na wazo jipya na ameanza kulifanyia kazi.