Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Reli, barabara zijengwe

 Serikali imesema nguvu kubwa inahitajika kutoka kwa wadau wa maendeleo ili kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya kuunganisha Bandari ya Dar es Salaam na nchi jirani zisizokuwa na bandari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli kukamilisha miradi ya reli, barabara

Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema Serikali imetenga Sh866bilioni, kwa ajili ya kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara nchini.

 

11 years ago

Habarileo

JK ahimiza ushiriki sekta binafsi miradi ya reli, barabara

RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kwa nchi wanachama kukuza ushiriki na sekta binafsi katika kuwekeza kwenye mradi wa Maendeleo wa Ukanda wa Kati. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kuzungumzia ukanda huo, alisema fedha za serikali pekee hazitoshelezi kufikia malengo ya kukamilisha miradi ya reli na barabara.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete, Lungu kuzungumzia uboreshaji wa reli ya Tazara

Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zambia, Edgar Lungu wanakutana mjini Lusaka, Zambia pamoja na mambo mengine, kuzungumzia uboreshwaji wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara).

 

10 years ago

Habarileo

DC ataka maabara zijengwe kwa viwango

MKUU wa Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro, Khanifa Karamagi amewataka wanaohusika na ujenzi wa vyumba vya maabara kujenga kwa kuzingatia viwango na ubora, ikiwa ni pamoja na kuwatumia wataalamu wa ujenzi ili michango ya wananchi itumike ipasavyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Reli yawatunuku askari reli watunukiwa

Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

RC Morogoro aagiza shule zote zijengwe vyumba vya maabara

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera amewataka watendaji wa kata katika Halmashahuri ya Wilaya ya Kilombero kuhakikisha shule zote za kata zinakuwa na maabara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete azindua barabara

RAIS Jakaya Kikwete amezindua barabara inayounganisha Makao Makuu ya Wilaya ya Handeni na Tanga – Dar es Salaam kupitia Mkata, pamoja na Tanga-Moshi -Arusha kwa upande wa Korogwe. Katika uzinduzi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete akizungumzia ujenzi wa barabara

Rais Kikwete ametilia mkazo maendeleo ya kuimarisha muundo msingi wa barabara itakayojengwa kwa pamoja

 

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete na Uhuru wazindua barabara muhimu

Rais Kenyatta na Rais Kikwete wamezindua mradi wa ujenzi wa barabara inayotarajiwa kurahisisha uchukuzi kati ya nchi hizo mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani