Kikwete: Reli, barabara zijengwe
 Serikali imesema nguvu kubwa inahitajika kutoka kwa wadau wa maendeleo ili kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya kuunganisha Bandari ya Dar es Salaam na nchi jirani zisizokuwa na bandari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Dk Magufuli kukamilisha miradi ya reli, barabara
11 years ago
Habarileo16 Apr
JK ahimiza ushiriki sekta binafsi miradi ya reli, barabara
RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kwa nchi wanachama kukuza ushiriki na sekta binafsi katika kuwekeza kwenye mradi wa Maendeleo wa Ukanda wa Kati. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kuzungumzia ukanda huo, alisema fedha za serikali pekee hazitoshelezi kufikia malengo ya kukamilisha miradi ya reli na barabara.
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Kikwete, Lungu kuzungumzia uboreshaji wa reli ya Tazara
10 years ago
Habarileo17 Aug
DC ataka maabara zijengwe kwa viwango
MKUU wa Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro, Khanifa Karamagi amewataka wanaohusika na ujenzi wa vyumba vya maabara kujenga kwa kuzingatia viwango na ubora, ikiwa ni pamoja na kuwatumia wataalamu wa ujenzi ili michango ya wananchi itumike ipasavyo.
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Reli yawatunuku askari reli watunukiwa
10 years ago
Mwananchi29 Oct
RC Morogoro aagiza shule zote zijengwe vyumba vya maabara
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Kikwete azindua barabara
RAIS Jakaya Kikwete amezindua barabara inayounganisha Makao Makuu ya Wilaya ya Handeni na Tanga – Dar es Salaam kupitia Mkata, pamoja na Tanga-Moshi -Arusha kwa upande wa Korogwe. Katika uzinduzi...
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Kikwete akizungumzia ujenzi wa barabara
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Kikwete na Uhuru wazindua barabara muhimu