Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Magufuli kukamilisha miradi ya reli, barabara

Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema Serikali imetenga Sh866bilioni, kwa ajili ya kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JK ahimiza ushiriki sekta binafsi miradi ya reli, barabara

RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kwa nchi wanachama kukuza ushiriki na sekta binafsi katika kuwekeza kwenye mradi wa Maendeleo wa Ukanda wa Kati. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kuzungumzia ukanda huo, alisema fedha za serikali pekee hazitoshelezi kufikia malengo ya kukamilisha miradi ya reli na barabara.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk Magufuli: CCM itanusurika na miradi ya barabara

WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli amesema njia pekee ambayo itakinusuru Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwakani ni miradi ya barabara na ujenzi wa madaraja ambayo inatekelezwa. Alitoa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGUFULI AZINDUA MIRADI SITA YA UJENZI WA BARABARA ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO KATIKA JIJI LA DAR

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Magufuli akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa barabara ya Mbezi mwisho-Goba- Tangi Bovu.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

5 years ago

Michuzi

SHINYANGAYATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI MIKUBWA KWA WAKATI



Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga kushoto, akimsikiliza Muhandisi wa Halmashauri ya Shinyanga Bw. William Lusiu kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo jana alipofanya ziara ya Siku moja Mkoani Shinyanga kujionea miradi ya maendeleo inayoendelea Mkoani Shinyanga, katikati ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovera.
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu ujenzi...

 

10 years ago

Vijimambo

Serikali yadhamiria kukamilisha Miradi ya Kitaifa ya Kimkakati


Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akiwasilisha Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.Sehemu ya Wabunge waliohudhuria uwasilishaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima wakimsikiliza Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagukwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jafo atoa milioni 71 kukamilisha miradi ya maendeleo

MBUNGE wa Kisarawe, mkoani Pwani, Selemani Jafo (CCM) ametoa shilingi milioni 71 kwa ajili ya kukamilisha baadhi ya miradi ya maendeleo jimboni humo ikiwemo ujenzi wa maabara unaoendelea katika shule...

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30

  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa pili kulia) akimsikiliza mmoja wa wananchi wanaozunguka mgodi wa dhahabu wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo ili kuangalia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika mgodi huo.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa tatu kulia) akiangalia baadhi ya mitambo inayotumika katika shughuli za uzalishaji dhahabu katika  mgodi wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watendaji wa Tanesco wazidi kubanwa watakiwa kukamilisha miradi kabla ya Februari mwakani

PIX 1

Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani (wa kwanza kulia) akitoa maagizo ya kukamilika kwa mradi huo ifikapo february mwakani kwa Mkurugenzi Mwandamizi wa Miradi TANESCO Bw.Gregory Chegere (wa kwanza kushoto) alipofanya ziara yake leo katika mradi wa  Tanzania Energy Development Access Program (TEDAP) eneo la Mbagala Rangi Tatu,jijini Dar es Salaam,Mradi huo utasaidia kusambaza umeme wenye nguvu ya kutosha na unaotarajia kunufaisha zaidi ya wananchi elfu kumi wa eneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani