Dk Magufuli kukamilisha miradi ya reli, barabara
Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema Serikali imetenga Sh866bilioni, kwa ajili ya kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Apr
JK ahimiza ushiriki sekta binafsi miradi ya reli, barabara
RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kwa nchi wanachama kukuza ushiriki na sekta binafsi katika kuwekeza kwenye mradi wa Maendeleo wa Ukanda wa Kati. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kuzungumzia ukanda huo, alisema fedha za serikali pekee hazitoshelezi kufikia malengo ya kukamilisha miradi ya reli na barabara.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Dk Magufuli: CCM itanusurika na miradi ya barabara
WAZIRI wa Ujenzi Dk. John Magufuli amesema njia pekee ambayo itakinusuru Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwakani ni miradi ya barabara na ujenzi wa madaraja ambayo inatekelezwa. Alitoa...
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AZINDUA MIRADI SITA YA UJENZI WA BARABARA ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO KATIKA JIJI LA DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UCit79H7F-Y/XqQRVACwsSI/AAAAAAALoKg/QigG3RYw3Wk2ksloYYWDoYgBldm8f1bwACLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-3-768x384.jpg)
SHINYANGAYATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI MIKUBWA KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UCit79H7F-Y/XqQRVACwsSI/AAAAAAALoKg/QigG3RYw3Wk2ksloYYWDoYgBldm8f1bwACLcBGAsYHQ/s640/1AA-3-768x384.jpg)
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga kushoto, akimsikiliza Muhandisi wa Halmashauri ya Shinyanga Bw. William Lusiu kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo jana alipofanya ziara ya Siku moja Mkoani Shinyanga kujionea miradi ya maendeleo inayoendelea Mkoani Shinyanga, katikati ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovera.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2AA-5-1024x512.jpg)
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu ujenzi...
10 years ago
VijimamboSerikali yadhamiria kukamilisha Miradi ya Kitaifa ya Kimkakati
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akiwasilisha Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Jafo atoa milioni 71 kukamilisha miradi ya maendeleo
MBUNGE wa Kisarawe, mkoani Pwani, Selemani Jafo (CCM) ametoa shilingi milioni 71 kwa ajili ya kukamilisha baadhi ya miradi ya maendeleo jimboni humo ikiwemo ujenzi wa maabara unaoendelea katika shule...
9 years ago
MichuziDkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Watendaji wa Tanesco wazidi kubanwa watakiwa kukamilisha miradi kabla ya Februari mwakani