SHINYANGAYATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI MIKUBWA KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UCit79H7F-Y/XqQRVACwsSI/AAAAAAALoKg/QigG3RYw3Wk2ksloYYWDoYgBldm8f1bwACLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-3-768x384.jpg)
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga kushoto, akimsikiliza Muhandisi wa Halmashauri ya Shinyanga Bw. William Lusiu kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo jana alipofanya ziara ya Siku moja Mkoani Shinyanga kujionea miradi ya maendeleo inayoendelea Mkoani Shinyanga, katikati ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovera.
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu ujenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UWEKEZAJI: Nagu: Miradi mikubwa kufanyika kwa ubia
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/3oqxHOLqISY/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
MIGA kufadhili miradi mikubwa Tanzania
KITENGO cha Taasisi za Benki ya Dunia kinachodhamini uwekezaji (MIGA) imeanza ziara ya kufadhili miradi mikubwa hapa nchini. Ziara hiyo ya siku mbili imeanza kwa kukutana na wizara za serikali,...
10 years ago
Habarileo23 Nov
Serikali kuimarisha elimu ya ufundi miradi mikubwa
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama amesema serikali inafanya uwekezaji wa elimu ya ufundi kwenye maeneo yenye miradi mikubwa kama gesi, makaa ya mawe na yalipogunduliwa madini ya urani.
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Magereza waingia ubia kutekeleza miradi mikubwa
KAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini (CGP), John Minja, amesema kuwa jeshi hilo kwa sasa limeanza kuingia ubia na baadhi ya kampuni za ndani na nje ya nchi ili kutekeleza miradi...
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA BILIONI 231.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO ALAT YA MTUNUKU TUZO
Akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Halmashauri hiyo katika kipindi hicho Mkurugenzi Ndug. Aron Kagurumjuli amesema kuwa kwaupande wa miradi ya kisekta imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii pamoja na miradi ya Maendeleo kwa...
10 years ago
MichuziNSSF YAWATEMBEZA WAHARIRI KUONA MIRADI MIKUBWA DAR ES SALAAM
5 years ago
MichuziMKURUGENZI KAGURUMJULI AWEKA HISTORIA KINONDONI KUKAMILISHA MIRADI YA TAKRIBAN BILIONI 242.8 KWA KIPINDI CHA MIAKA MITANO, ALAT YAMPA TUZO.
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeweka historia katika suala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ile ya kimkakati kwa kipindi cha miaka mitano iliyogharimu takribani shilingi bilioni 242.8 fedha zilizotokana na vyanzo vya mapato ya ndani, Serikali kuu na wadau wengine wa maendeleo.
Taarifa hii imetolewa wakati wa uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa kipindi cha miaka mitano katika kikao cha mwisho cha Baraza la Madiwani kilichofanyika leo katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E6u4GpY-2C8/UwDdJIt-yaI/AAAAAAAFNek/2lPIysMrtx4/s72-c/Waziri+Magufuli+katika+mtambo.jpg)
MIRADI MIKUBWA YA BARABARA KATIKA MIKOA YA RUVUMA NA MTWARA KUSAINIWA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-E6u4GpY-2C8/UwDdJIt-yaI/AAAAAAAFNek/2lPIysMrtx4/s1600/Waziri+Magufuli+katika+mtambo.jpg)