NSSF YAWATEMBEZA WAHARIRI KUONA MIRADI MIKUBWA DAR ES SALAAM
Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la kisasa la Kigamboni, kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi Karrim Mataka (kulia), akitoa maelezo ya mradi ujenzi wa daraja hilo kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari, wanaotembelea mradi mbalimbali ya uwekezaji unaofanywa na NSSF. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Creasentius Magori.
Wahariri wa Vyombo vya Habari, wakijaribu kupita kwenye njia ya dharura, kwa ajili ya kuangalia mradi mkubwa wa Ujenzi wa Daraja la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/3oqxHOLqISY/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pbitokSIfmU/VYZ2JoLT1dI/AAAAAAAHiGw/F_-e7zFxxcs/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
wahariri walipotembelea bandari ya dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-pbitokSIfmU/VYZ2JoLT1dI/AAAAAAAHiGw/F_-e7zFxxcs/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LBh0eVOwkqM/VYZ2Jh13WzI/AAAAAAAHiGs/QhGzaDGHMKE/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi07 Mar
Spika Makinda, Wenyeviti wa Bunge Watembelea Miradi ya NSSF Dar
![Meneja Mradi wa NSSF, Mhandisi John Msemwa (mwenye kipaza sauti) akielezea maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa zinazojengwa na shirika hilo Kigamboni jijini Dar es Salaam kwa Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda pamoja na wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge walipo tembelea mradi wa daraja la kisasa linalojengwa na NSSF kwa ubia na Serikali kuunganisha Jiji la Dar es Salaam na mji wa Kigamboni.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0237.jpg)
![Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda pamoja na wajumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge wakitembelea mradi wa daraja la kisasa linalojengwa na NSSF kwa ubia na Serikali kuunganisha Jiji la Dar es Salaam na mji wa Kigamboni.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0181.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
MIGA kufadhili miradi mikubwa Tanzania
KITENGO cha Taasisi za Benki ya Dunia kinachodhamini uwekezaji (MIGA) imeanza ziara ya kufadhili miradi mikubwa hapa nchini. Ziara hiyo ya siku mbili imeanza kwa kukutana na wizara za serikali,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s72-c/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s640/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhYz8IeQUPI/Va-eCLWrIVI/AAAAAAAAWgU/BMqu-H2F8HQ/s640/Irine%2BIsaka_DGSSRA2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94b-TIiWNww/Va-eH5Z8NUI/AAAAAAAAWgo/v9Fl-UgF2Vg/s640/Shemax.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qplRbticTzk/Va-eJEbhTLI/AAAAAAAAWgw/bx81jeCAGXE/s640/Steven%2BChuwa_Scolastica%2BMazula.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UCit79H7F-Y/XqQRVACwsSI/AAAAAAALoKg/QigG3RYw3Wk2ksloYYWDoYgBldm8f1bwACLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-3-768x384.jpg)
SHINYANGAYATAKIWA KUKAMILISHA MIRADI MIKUBWA KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UCit79H7F-Y/XqQRVACwsSI/AAAAAAALoKg/QigG3RYw3Wk2ksloYYWDoYgBldm8f1bwACLcBGAsYHQ/s640/1AA-3-768x384.jpg)
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga kushoto, akimsikiliza Muhandisi wa Halmashauri ya Shinyanga Bw. William Lusiu kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Wilaya hiyo jana alipofanya ziara ya Siku moja Mkoani Shinyanga kujionea miradi ya maendeleo inayoendelea Mkoani Shinyanga, katikati ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovera.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2AA-5-1024x512.jpg)
Katibu Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Eng. Joseph Nyamhanga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu ujenzi...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Magereza waingia ubia kutekeleza miradi mikubwa
KAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini (CGP), John Minja, amesema kuwa jeshi hilo kwa sasa limeanza kuingia ubia na baadhi ya kampuni za ndani na nje ya nchi ili kutekeleza miradi...
10 years ago
Habarileo23 Nov
Serikali kuimarisha elimu ya ufundi miradi mikubwa
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama amesema serikali inafanya uwekezaji wa elimu ya ufundi kwenye maeneo yenye miradi mikubwa kama gesi, makaa ya mawe na yalipogunduliwa madini ya urani.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LK7aKRmdicA/VYKlcVq-pqI/AAAAAAAHg2o/WBpWtmtFQKo/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari watembele mamlaka ya bandari dar es salaam