Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


wahariri walipotembelea bandari ya dar es salaam

 Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Hebel Mhanga (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kitengo cha Kimataifa cha Makasha (TICTS), Bw. Paul Wallace wakati wa ziara ya wahariri wa vyombo vya habari katika bandari ya Dar es Salaam hivi karibuni.  Wahariri hao walitembelea maeneo mbalimbali katika bandari hiyo.Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Hebel Mhanga (kulia) akiwaelezea jambo wahariri wa vyombo vya habari katika bandari ya Dar es Salaam hivi karibuni.  Wahariri...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari watembele mamlaka ya bandari dar es salaam

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imesema maboresho mbalimbali yanayofanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam na kuimarishwa kwa mahusiano na wadau wake vimesaidia kuongeza ufanisi bandarini.  Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Bw. Awadhi Massawe alisema mahusiano mazuri ya kikazi na wadau pamoja na uboreshaji wa miundombinu na huduma vimechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza ufanisi bandarini.  “Wahariri na ...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YAWATEMBEZA WAHARIRI KUONA MIRADI MIKUBWA DAR ES SALAAM

 Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la kisasa la Kigamboni, kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi Karrim Mataka (kulia), akitoa maelezo ya mradi ujenzi wa daraja hilo kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari, wanaotembelea mradi mbalimbali ya uwekezaji unaofanywa na NSSF. Wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Creasentius Magori. Wahariri wa Vyombo vya Habari, wakijaribu kupita kwenye njia ya dharura, kwa ajili ya kuangalia mradi mkubwa wa Ujenzi wa Daraja la...

 

10 years ago

Michuzi

KIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli kushoto akimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki Meli kubwa ya mizigo iliyobeba Kivuko kipya cha MV Dar es Salaam ilipokuwa inakaribia kutia nanga katika bandari ya Dar es Salaam.Taaswira ya Kivuko cha MV Dar es Salaam kama kinavyoonekana juu ya Meli kabla ya kushushwa majini katika bandari ya Dar es Salaam.Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha furaha yake ndani ya Kivuko hicho cha MV Dar es Salaam.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wadau wa Reli na Bandari walipotembelea kiwanda cha mitambo ya Umeme cha ABC

DSCF5501

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na jumuiya ya Ulaya Dr Kamala akisikiliza maelezo kutoka kwa uongozi wa kampuni ya Anglo Belgium Corporation ABC inayoshughuikia utengenezaji wa mitambo mbalimbali ya umeme,pichani Balozi Kamala akiwa na wadau kutoka sekta mbalimbali za reli na bandari wakisikiliza kwa makini shughuli zinazofanywa kiwandani hapo.

DSCF5522

Mh. Balozi Dr. Kamala akiwa na wadau toka Tanzania katika kiwanda cha utengenezaji wa mitambo ya umeme kinachojulikana kama Anglo Belgian...

 

10 years ago

Michuzi

MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM


 MKURUGENZI Mkuu wa kwanza wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), Masha Mshomba, akiwasilisha mada wakati wa warsha iliyoandaliwa na Mfuko huo kwa Wahariri kwenye Hoteli ya Court Yard jijini Dar es Salaam, Julai 22, 2015
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, (SSRA), Irine Isaka, akifungua warsha hiyo Mhariri Shemax Ngahamera akizungumza kwenye warsha hiyo Mhariri wa vipindi wa ITV/Radio One, Steven Chuwa, (kulia), na Mhariri Mtendaji wa EFM, Scolastica Mazula,...

 

11 years ago

GPL

WADAU WA RELI NA BANDARI WALIPOTEMBELEA KIWANDA CHA MITAMBO YA UMEME CHA ABC‏

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na Jumuiya ya Ulaya Dr. Kamala akisikiliza maelezo kutoka kwa uongozi wa kampuni ya Anglo Belgium Corporation ABC inayoshughulikia utengenezaji wa mitambo mbalimbali ya umeme, pichani Balozi Kamala akiwa na wadau kutoka sekta mbalimbali za reli na bandari wakisikiliza kwa makini shughuli zinazofanywa kiwandani hapo.  Mh:Balozi Dr Kamala akiwa na wadau toka Tanzania katika… ...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Meneja wa Mipango na Mikakati wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Bw. Ntandu Mathayo (Kulia) akiukaribisha ugeni kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipokwenda kujionea maendeleo ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika Bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kiongozi wa Msafara huo, Bibi Florence Mwanri. Wengine pichani ni Bw. Aloyce Andrea (Wapili Kushoto), Bw. Robert Senya (Katikati) na Bw. Abel Shirima.Kiongozi wa Msafara kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wahariri wa vyombo vya habari wapewa semina ya kuelimisha utunzaji wa Mazingira Jijini Dar Es Salaam

 

Mkurugenzi Mkuu wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Julius Ningu akifungua mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari juu ya utunzaji wa Mazingira na kuelekea maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani mapema mwezi wa Sita.

 

Mwendesha mada wakati wa Mkutano wa Wahariri wa vyombo mbalimbali vya Habari juu ya masuala ya mazingira Bi. Singlunda akitoa maelezo na mwongozo wa mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa.

 

Mmoja ya Wataalam wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira...

 

11 years ago

Michuzi

Maboresho bandari ya Dar es Salaam yaanza kuzaa matunda

Maboresho yanayofanywa na serikali kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika kuboresha huduma zinazotolewa na bandari ya Dar es Salaam sasa zimeanza kuzaa matunda.  Kaimu Meneja Mawasiliano wa TPA, Bi. Janeth Ruzangi aliwaambia waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kuwa bandari imeanza kupata mafanikio katika kuwahudumia wateja wake na maeneo mengine kutokana maboresho yanayo endelea kufanywa.  Katika miaka ya hivi karibuni pamekuwepo na mikakati mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani