wahariri walipotembelea bandari ya dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-pbitokSIfmU/VYZ2JoLT1dI/AAAAAAAHiGw/F_-e7zFxxcs/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Hebel Mhanga (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kitengo cha Kimataifa cha Makasha (TICTS), Bw. Paul Wallace wakati wa ziara ya wahariri wa vyombo vya habari katika bandari ya Dar es Salaam hivi karibuni. Wahariri hao walitembelea maeneo mbalimbali katika bandari hiyo.
Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Hebel Mhanga (kulia) akiwaelezea jambo wahariri wa vyombo vya habari katika bandari ya Dar es Salaam hivi karibuni. Wahariri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LK7aKRmdicA/VYKlcVq-pqI/AAAAAAAHg2o/WBpWtmtFQKo/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari watembele mamlaka ya bandari dar es salaam
10 years ago
MichuziNSSF YAWATEMBEZA WAHARIRI KUONA MIRADI MIKUBWA DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
11 years ago
Dewji Blog26 May
Wadau wa Reli na Bandari walipotembelea kiwanda cha mitambo ya Umeme cha ABC
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na jumuiya ya Ulaya Dr Kamala akisikiliza maelezo kutoka kwa uongozi wa kampuni ya Anglo Belgium Corporation ABC inayoshughuikia utengenezaji wa mitambo mbalimbali ya umeme,pichani Balozi Kamala akiwa na wadau kutoka sekta mbalimbali za reli na bandari wakisikiliza kwa makini shughuli zinazofanywa kiwandani hapo.
Mh. Balozi Dr. Kamala akiwa na wadau toka Tanzania katika kiwanda cha utengenezaji wa mitambo ya umeme kinachojulikana kama Anglo Belgian...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s72-c/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
MFUKO WA FIDIA KWA WAFANYAKAZI (WCF), WAKUTANA NA WAHARIRI, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4iCphaSuUg/Va-eBsSa1EI/AAAAAAAAWgQ/57YaYVF7Cqw/s640/Masha%2BMshomba_DG%2BWFC.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhYz8IeQUPI/Va-eCLWrIVI/AAAAAAAAWgU/BMqu-H2F8HQ/s640/Irine%2BIsaka_DGSSRA2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94b-TIiWNww/Va-eH5Z8NUI/AAAAAAAAWgo/v9Fl-UgF2Vg/s640/Shemax.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qplRbticTzk/Va-eJEbhTLI/AAAAAAAAWgw/bx81jeCAGXE/s640/Steven%2BChuwa_Scolastica%2BMazula.jpg)
11 years ago
GPLWADAU WA RELI NA BANDARI WALIPOTEMBELEA KIWANDA CHA MITAMBO YA UMEME CHA ABC
10 years ago
MichuziTUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM
11 years ago
Dewji Blog08 May
Wahariri wa vyombo vya habari wapewa semina ya kuelimisha utunzaji wa Mazingira Jijini Dar Es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Julius Ningu akifungua mkutano na Wahariri wa vyombo vya habari juu ya utunzaji wa Mazingira na kuelekea maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani mapema mwezi wa Sita.
Mwendesha mada wakati wa Mkutano wa Wahariri wa vyombo mbalimbali vya Habari juu ya masuala ya mazingira Bi. Singlunda akitoa maelezo na mwongozo wa mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa.
Mmoja ya Wataalam wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U2Vcm4HoLAI/Uwm66Qbe-eI/AAAAAAAFO2s/7heoPkRG8Cg/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Maboresho bandari ya Dar es Salaam yaanza kuzaa matunda