Ndoto ya reli ya kasi Kenya!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amezindua rasmi mradi wa reli katika jiji la Mombasa, utakaounganisha Kenya na Uganda, Sudan Kusini na Rwanda
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yTp07TP255o/XmfglGuRc-I/AAAAAAAEGMs/Ctb1fhBBLJoKBZjK89LB1t0MRIZ0eZHaQCLcBGAsYHQ/s72-c/6b6104e9-5b5a-4071-bcbe-17e4c02cf921.jpg)
BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA
Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020.
Lengo ni kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika katika ukamilishaji wa ukarabati huo, ziara hiyo iliyofanywa katika njia nzima ya reli ya kati ambapo maafisa kutoka benki ya Dunia wakishirikiana na wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC pamoja na wahandisi washauri kuoka DOHWA na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s72-c/1-37.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s640/1-37.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-37.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO-zEXRFBOk/Xl37y6QkoAI/AAAAAAALggM/kQyIyOyQcmw7b15i1lO9ooMiNSIffZMWQCLcBGAsYHQ/s72-c/98c0df68-a72c-4fb9-b3ae-91edb92db395.jpg)
MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WA WIZARA MBALIMBALI WASHANGAZWA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
Na Avila Kakingo-Michuzi Blog
MAKATIBU wakuu na Manaibu wa Wizara mbalimbali katika serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Pombe Magufuli wameshangazwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa ya Umeme (SGR).
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa Mradi wa reli ya Kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma, amesema kuwa kwakuwa mradi huu unazungumzwa katika vikao vyao ndio mana leo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCsSPNqv7XM/VRv9YDkIxxI/AAAAAAAAR0s/HUhhKmoE9Ws/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA KASI KWENDA KIGOMA YAZINDULIWA, ITATUMIA MASAA 6 PUNGUFU YA ILE YA ZAMANI "KUTUA MWISHO WA RELI"
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCsSPNqv7XM/VRv9YDkIxxI/AAAAAAAAR0s/HUhhKmoE9Ws/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Ujenzi wa reli mpya wazua utata Kenya
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Reli yawatunuku askari reli watunukiwa
9 years ago
Bongo501 Dec
Staa huyu mrembo wa Kenya akubali kasi ya Magufuli
![11875527_879234492167295_1538931681_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11875527_879234492167295_1538931681_n-300x194.jpg)
Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.
Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would Tanzania’s cost-cutting president do? Twitter responds.
Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea.
Hata wasichana wazuri kama Sheila Mwanyiga aka Nikki nao wamempa salute Magu.
This man #Magufuli… A #NewAfrica rises...
11 years ago
Habarileo25 Jun
Reli ya kati kuimarishwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bZcqdPHixI4/VByUapdt1LI/AAAAAAAGkoQ/40OzDu0QiiE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
KIGOMA MWISHO WA RELI
![](http://4.bp.blogspot.com/-bZcqdPHixI4/VByUapdt1LI/AAAAAAAGkoQ/40OzDu0QiiE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)