Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndoto ya reli ya kasi Kenya!

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amezindua rasmi mradi wa reli katika jiji la Mombasa, utakaounganisha Kenya na Uganda, Sudan Kusini na Rwanda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA


Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020. 
Lengo ni kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika katika ukamilishaji wa ukarabati huo, ziara hiyo iliyofanywa katika njia nzima ya reli ya kati ambapo maafisa kutoka benki ya Dunia wakishirikiana na wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC pamoja na wahandisi washauri kuoka DOHWA na...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akitoa maelekezo kwa Meneja Mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa...

 

5 years ago

Michuzi

MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WA WIZARA MBALIMBALI WASHANGAZWA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)


Na Avila Kakingo-Michuzi Blog
MAKATIBU wakuu na Manaibu  wa Wizara mbalimbali katika serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Pombe Magufuli wameshangazwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa ya Umeme (SGR).

Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa Mradi wa reli ya Kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma, amesema kuwa kwakuwa mradi huu unazungumzwa katika vikao vyao ndio mana leo...

 

10 years ago

Vijimambo

TRENI YA KASI KWENDA KIGOMA YAZINDULIWA, ITATUMIA MASAA 6 PUNGUFU YA ILE YA ZAMANI "KUTUA MWISHO WA RELI"

Treni mpya ya abiria yenye kufanya safari zake kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Kigoma na Mwanza, ikiwa kwenye kituo kikuu cha reli (TRL), jijini Dar es Salaam leo Jumatano Aprili 1, 2015. Treni hiyo iliyopewa jina "Deluxe Coach" imezindua safari yake ya kwanza leo Aprili mosi, kuelekea Kigoma, ikiwa na mabehewa mapya yaliyoagizwa na serikali hivi karibuni. Injini zilizokarabatiwa na wamalaysia, zimeonekama kama mpya na sasa treni hiyo itakuwa ikisafiri kila Jumapili saa 2 usiku ikitumia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujenzi wa reli mpya wazua utata Kenya

Tume ya ardhi imejitetea kuhusu shutuma za kuwanyanyasa wakaazi kwa malipo ya fidia ya ardhi yao itakayotumika kwa mradi huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Reli yawatunuku askari reli watunukiwa

Polisi wa Kikosi cha Reli wametunukiwa zawadi mbalimbali askari ikiwamo vyeti baada ya kukamata shehena ya mataruma na reli vyenye thamani ya zaidi ya Sh285 milioni.

 

9 years ago

Bongo5

Staa huyu mrembo wa Kenya akubali kasi ya Magufuli

11875527_879234492167295_1538931681_n

Kwa wiki ya pili sasa Rais Dkt Magufuli ameendelea kuwa gumzo barani Afrika na sasa hadi nchi za Ulaya zimedata naye.

11875527_879234492167295_1538931681_n

Gazeti kubwa la Marekani, The Guardian limeandika habari isemayo: What would Tanzania’s cost-cutting president do? Twitter responds.

Jina lake linatrend muda wote kwenye mtandao wa Twitter na kadri siku zinavyooenda habari za utendaji wake zinazidi kuenea.

Hata wasichana wazuri kama Sheila Mwanyiga aka Nikki nao wamempa salute Magu.

12224181_540827232738239_945873871_n

This man #Magufuli… A #NewAfrica rises...

 

11 years ago

Habarileo

Reli ya kati kuimarishwa

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.

 

10 years ago

Michuzi

KIGOMA MWISHO WA RELI

Mdau Hassan aliopo safarini Mkoani Kigoma,ametuletea taswira hii aliyoidaka leo alipotembelea eneo la mwisho wa Reli mkoani Kigoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani