BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yTp07TP255o/XmfglGuRc-I/AAAAAAAEGMs/Ctb1fhBBLJoKBZjK89LB1t0MRIZ0eZHaQCLcBGAsYHQ/s72-c/6b6104e9-5b5a-4071-bcbe-17e4c02cf921.jpg)
Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020.
Lengo ni kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika katika ukamilishaji wa ukarabati huo, ziara hiyo iliyofanywa katika njia nzima ya reli ya kati ambapo maafisa kutoka benki ya Dunia wakishirikiana na wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC pamoja na wahandisi washauri kuoka DOHWA na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8fURey8qM/XmB4TlA3ewI/AAAAAAALhFE/CDr1F74eVukawJ-h2_rH9BuS0rrcKQHmACLcBGAsYHQ/s72-c/1c767af1-bc14-4f08-b70f-59a4c54d13d1.jpg)
UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA AMRADI
Benki hiyo ambayo ni wafadhili wa ukarabati wa mradi wa reli ya kati, hufanya ukaguzi mara kwa mara kwa lengo la kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika ili kukamilisha ukarabati huo.
Mtaalamu wa maswala ya elimu ya mazingira kutoka Benki ya Dunia Bi. Elina Kashangaki amesema kuwa wanafarijika kuona kwamba kazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-39iYO9JflTQ/Xt85yhpU6FI/AAAAAAALtIY/N4LPnVy-vh43Lpj5clYtwVL4eHqpZSeqgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MRADI WA UBORESHAJI WA RELI YA KATI – TIRP DAR ES SALAAM - ISAKA WAFIKA 85%
Mradi umelenga kufanya ukarabati wa Reli iliyopo kwa kipande cha Dar es salaam - Isaka ili kuongeza uwezo wa kubeba mzigo toka chini ya Tani 13.5 za uzito wa ekseli hadi tani 18.5 kwa kutandika upya njia za Reli...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Benki ya Dunia yainusuru reli ya kati
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Sh1.5/- trilioni zahitajika ukarabati wa reli ya kati
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7CdsQHTv-AA/VZkQFKm7nkI/AAAAAAAHnDk/UOAAJGa4P20/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Benki ya Dunia Kanda ya Afrika yaridhishwa na maboresho ya miundombinu ya bandari ya Dar es Salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-7CdsQHTv-AA/VZkQFKm7nkI/AAAAAAAHnDk/UOAAJGa4P20/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s72-c/1-37.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s640/1-37.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-37.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Foqz65KoPzQ/VonKhaqfOjI/AAAAAAAIQFo/IONLp1wGUE8/s72-c/38408933-e546-44d0-8ffd-4d6754b44f2b.jpg)
WAZIRI MBARAWA ATOA SIKU TATU UKARABATI RELI YA KATI
10 years ago
Habarileo12 Sep
Benki ya Dunia yaridhishwa na DART
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) na kuahidi kuhakikisha awamu zote za mradi zinakamilika kwa uhakika.
10 years ago
Habarileo29 Aug
Benki ya Dunia yaridhishwa na Tanzania
BENKI ya Dunia imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayoendeshwa na Serikali, inayofadhiliwa na benki hiyo. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhamini Uwekezaji (Miga), Michael Wormser, amesema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.