UKARABATI WA RELI YA KATI WAFIKIA 76%, BENKI YA DUNIA YAFANYA ZIARA KUONA MAENDELEO YA AMRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8fURey8qM/XmB4TlA3ewI/AAAAAAALhFE/CDr1F74eVukawJ-h2_rH9BuS0rrcKQHmACLcBGAsYHQ/s72-c/1c767af1-bc14-4f08-b70f-59a4c54d13d1.jpg)
Benki ya Dunia imeanza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi wa ukarabati wa reli ya kati - TIRP kuanzia Dar es Salaam Kuelekea Isaka - Tabora, hivi karibuni, Machi 2020.
Benki hiyo ambayo ni wafadhili wa ukarabati wa mradi wa reli ya kati, hufanya ukaguzi mara kwa mara kwa lengo la kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika ili kukamilisha ukarabati huo.
Mtaalamu wa maswala ya elimu ya mazingira kutoka Benki ya Dunia Bi. Elina Kashangaki amesema kuwa wanafarijika kuona kwamba kazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yTp07TP255o/XmfglGuRc-I/AAAAAAAEGMs/Ctb1fhBBLJoKBZjK89LB1t0MRIZ0eZHaQCLcBGAsYHQ/s72-c/6b6104e9-5b5a-4071-bcbe-17e4c02cf921.jpg)
BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA KASI YA UKARABATI WA RELI YA KATI DAR – ISAKA
Wafadhili wa ukarabati wa reli ya kati Benki ya Dunia wameridhishwa na ukarabati wa reli ya kati – TIRP katika ziara waliyoifanya kuanzia Dar es Salaam hadi Tabora - Isaka, hivi karibuni Machi, 2020.
Lengo ni kujua kiwango na ubora wa nyenzo zinazotumika katika ukamilishaji wa ukarabati huo, ziara hiyo iliyofanywa katika njia nzima ya reli ya kati ambapo maafisa kutoka benki ya Dunia wakishirikiana na wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania - TRC pamoja na wahandisi washauri kuoka DOHWA na...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Benki ya Dunia yainusuru reli ya kati
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Sh1.5/- trilioni zahitajika ukarabati wa reli ya kati
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Foqz65KoPzQ/VonKhaqfOjI/AAAAAAAIQFo/IONLp1wGUE8/s72-c/38408933-e546-44d0-8ffd-4d6754b44f2b.jpg)
WAZIRI MBARAWA ATOA SIKU TATU UKARABATI RELI YA KATI
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Reli ya Kati iboreshwe kwa maendeleo ya taifa
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) yafanya Bonanza la Nanenane mkoani Lindi
Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Bi. Miriam Mtima akizungumza wakati wa kufungua bonanza la Nanenane lilioandaliwa na benki ya Maendeleo ya Wakulima (TADB), jana mkoani Lindi.
Mkurugenzi wa Mikopo wa benki ya Maendeleo ya Wakulima, Bwana Robert Paschal akitoa hotuba ya ufunguzi wakati wa uzinduzi wa bonanza la Nanenane katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi jana.
Kaimu Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Bi Miriam Mtima akipiga mpira kuashiria ufunguzi wa bonanza la...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E__U5BbZ4ds/VN35HrgjTHI/AAAAAAADYDw/O8hns7XBiec/s72-c/20150212_104312.jpg)
Kamati ya Bunge ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi yafanya ziara ya kikazi Jijini Dubai
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ofzHefzvsl4%2FVN35Ga40rSI%2FAAAAAAADYDk%2FH7mmydBfuM8%2Fs1600%2F20150212_104038.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E__U5BbZ4ds/VN35HrgjTHI/AAAAAAADYDw/O8hns7XBiec/s1600/20150212_104312.jpg)
Aidha, Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliongozana na Kamati. Ziara hii fupi imekuwa ya mafanikio makubwa, kwani kamati pamoja wajumbe wengine wamekubaliana masuala muhimu ambayo wameona yanafaa kuishairi Serikali...
10 years ago
MichuziKAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA DAR YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ELa_s2B9LbA/VYExNbu451I/AAAAAAAHgXs/g4q4Og1hfKo/s72-c/photo%2B1.jpeg)
WARSHA KATI YA MAHAKAMA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ELa_s2B9LbA/VYExNbu451I/AAAAAAAHgXs/g4q4Og1hfKo/s640/photo%2B1.jpeg)